alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Lissu alikuwa kiranja Mkuu wa kumkejeli Rais na kumtamka kwa majina mabaya baya!
Kabendera ndiye aliyetumia kalamu yake na magazeti ya nje ya Nchi kumkashfu Rais kwa mabaya mengi!
Sasa kwa kuwa mkweli kabisa mimi si sehemu ya kuwahurumia wale wote waliojitakia kwa yale yaliyowasibu.Acha tu wapambane na khali zao.
Mheshimiwa Rais ni sawa na baba wa familia na familia ina watoto,wajukuu na wengineo ambao kama wanadamu wanayo damu na baadhi yao lazima hawakupendezwa na kejeli zile!
Itoshe kusema kila mtu atavuna alichopanda!
Kabendera ndiye aliyetumia kalamu yake na magazeti ya nje ya Nchi kumkashfu Rais kwa mabaya mengi!
Sasa kwa kuwa mkweli kabisa mimi si sehemu ya kuwahurumia wale wote waliojitakia kwa yale yaliyowasibu.Acha tu wapambane na khali zao.
Mheshimiwa Rais ni sawa na baba wa familia na familia ina watoto,wajukuu na wengineo ambao kama wanadamu wanayo damu na baadhi yao lazima hawakupendezwa na kejeli zile!
Itoshe kusema kila mtu atavuna alichopanda!