Mhe Geoffrey Mwambe Ni Mbunge wa viwango vikubwa sanaa Ana Busara, Hekima, Mzalendo wa kweli, Msomi, Mbobevu katika masuala ya Uwekezaji na uchumi hakika hiii ni Tunu ya taifa letu ni hazina kweli kweli anaifanya Masasi yetu kua Juu na hakika ni fahari yetu[emoji1488][emoji1488]