Recent content by JUMALIKA

  1. JUMALIKA

    Kushamiri kwa online App za mikopo

    Toka Lini wakafanya Hivyo Buana [emoji1787] acha kutishia watu hawana huo ubavu
  2. JUMALIKA

    Natafuta kazi halali nipo Mbeya

    Nina Vijana wangu wapo Wawili mapacha ila ni Standard 1 pale MAGUFULI , kama uko tayari naomba uje uwafundishe kwa ule muda wa ziada hapa Nyumbani na kuhusu malipo ni makubaliano [emoji1488][emoji1488]..
  3. JUMALIKA

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Position : Distributer sales representative (DSR) Experience: 9 years Education: certificate of Marketing Location: Mbeya
  4. JUMALIKA

    Waziri Mwigulu Nchemba mkumbushe Rais kuwa hata madai ya watumishi yame 'mature'

    Mwenye Deni anione tufanye kazi anichek tu
  5. JUMALIKA

    Masasi ya Geofrey Mwambe ni bambam

    Uko aahihi Sana nikweli kabiaa huyoo anaandika vitu havijui tu
  6. JUMALIKA

    Tunauza korosho kwa bei nafuu kutoka Mtwara, korosho nzuri

    Ok sawa .. hakuna shida tuwasiliane tu
  7. JUMALIKA

    Tunauza korosho kwa bei nafuu kutoka Mtwara, korosho nzuri

    Tunauza korosho nzuri kwa. Bei nzuri kutoka mtwara mahali popote pale Mzigo unakofikia ni kuweka Order yako mapema na kwa wakati , Tupigie kwa No 0712359510,0712359510...BEI ( Price) zetu 25,000 kwa kilo ( KG) ,Usisahau Mzigo unakufikia popote pale ulipo ndani na nje ya nchi ,
  8. JUMALIKA

    Masasi ya Geofrey Mwambe ni bambam

    Hakuna shaka kwa mbunge huyo wa masasi mimi kwa msisitizo niseme ni Mzalendo hasa
  9. JUMALIKA

    Masasi ya Geofrey Mwambe ni bambam

    Na hao wake za watu hawajui kama wao ni wake za watu?? waache tamaa
  10. JUMALIKA

    Masasi ya Geofrey Mwambe ni bambam

    Hilo Ni jembe kweli kweli na sio kudanganywa kuna wakati unatakiwa kupata wasaa wa kuwahudumia na wengine katika eneo lako ndicho alichofanya kaenda kusaidia nyumbani na kazi zinakwenda vizuri sanaa huku wananchii wa jimbo la masasi wakiona kama alichelewa kua mbunge wao , Kongele Mzee Geoffrey...
  11. JUMALIKA

    Masasi ya Geofrey Mwambe ni bambam

    Mhe Geoffrey Mwambe Ni Mbunge wa viwango vikubwa sanaa Ana Busara, Hekima, Mzalendo wa kweli, Msomi, Mbobevu katika masuala ya Uwekezaji na uchumi hakika hiii ni Tunu ya taifa letu ni hazina kweli kweli anaifanya Masasi yetu kua Juu na hakika ni fahari yetu[emoji1488][emoji1488]
Back
Top Bottom