sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,080
- 2,308
Habari wanandugu na wageni na wenyeji wa JamiiForums hakika Mungu aendelee kumbariki mwashishi wa hii kitu
Nivumiliwe tu sio mtaalamu wa kuandika sana ila najua sana kusoma waliachoandika waandisho manguli
baada ya pukurukushani za wiki nzima angalau nchi imechangamka na mengi kuanzia michezoni mpaka kwenye siasa Niende kwenye mada moja kwa moja bila kupoteza muda wako, kama kichwa kinavyojieleza.
Hivi karibuni kumezuka matangazo ya mtandaoni na hata mitaani ya huduma za mikopo kwa riba nafuu mfano kuna pesa x kuna wale wa cash x nk ukingia YouTube, Instagram, Facebook na hata mtandao wa X
Binafsi mwanzo nilikuwa nahisi pengine ni matapeli ko sikuwahi jishughurisha nao hataa ila majuzi baada ya kuona vijana kadhaa mtaani kwangu wakiinadi kwa bashasha pesa x ikabidi niwaze sana je kuna ukweli (Samahani makampuni nayo yataja siyataji kama sehemu ya matangazo au kuyatangaza)
Buana buana ikabid nijaribu moja wapo nikaipakua na kujaza kama wanavyohitaji ikiwa ni pamoja na kitambulisho cha uraia, kweli dakika chache nikakamilisha na kuomba mkopo nikapewa 25000 cash kupitia mpesa
Baada ya hapo nikaanza kupata adds nyingi za kuhusiana na mikopo na hapo ndipo nikanza kujiuliza haya ambayo yamefanya nije hapa kuandika kwa kuuliza kwanza nataman kujua haya nakampuni ni ya nchi gani na je bank kuu wanataarifa za kutosha kuhusu uwepo wake? Pili hawa wamiliki pesa hizi ni halali kweli au
Mawazo yangu binafs yamenipeleka kuwaza huenda wamiliki wakubwa ni viongozi wetu wakubwa ma hapa tunahitaji Bank Kuu BOT ichunguze kwa umakini uwepo wake na uhalali wake sambamba na kujua wamiliki wake halisi isijekuwa kuna utakatishaji wa fedha za umma iwe tz, kenya au popote kwa sababu jamaa wanatoa hela kama njugu afu bila wasiwasi
Pia polis wangalie nao kwa upande wao usalama wa watu wake ambao watashindwa kurejesha manake tunakopeshwa na mtu ambaye hatumuoni tumaelekea mwaka wa uchaguzi isijekuwa pesa chafu ndio zinaandaliwa njia yake. Bank kuu, Polisi Tanzania.
Asante msinitukane sana uandishi wangu hata mi mwenyewe haunivutii kabisa ila najikaza tu
Nivumiliwe tu sio mtaalamu wa kuandika sana ila najua sana kusoma waliachoandika waandisho manguli
baada ya pukurukushani za wiki nzima angalau nchi imechangamka na mengi kuanzia michezoni mpaka kwenye siasa Niende kwenye mada moja kwa moja bila kupoteza muda wako, kama kichwa kinavyojieleza.
Hivi karibuni kumezuka matangazo ya mtandaoni na hata mitaani ya huduma za mikopo kwa riba nafuu mfano kuna pesa x kuna wale wa cash x nk ukingia YouTube, Instagram, Facebook na hata mtandao wa X
Binafsi mwanzo nilikuwa nahisi pengine ni matapeli ko sikuwahi jishughurisha nao hataa ila majuzi baada ya kuona vijana kadhaa mtaani kwangu wakiinadi kwa bashasha pesa x ikabidi niwaze sana je kuna ukweli (Samahani makampuni nayo yataja siyataji kama sehemu ya matangazo au kuyatangaza)
Buana buana ikabid nijaribu moja wapo nikaipakua na kujaza kama wanavyohitaji ikiwa ni pamoja na kitambulisho cha uraia, kweli dakika chache nikakamilisha na kuomba mkopo nikapewa 25000 cash kupitia mpesa
Baada ya hapo nikaanza kupata adds nyingi za kuhusiana na mikopo na hapo ndipo nikanza kujiuliza haya ambayo yamefanya nije hapa kuandika kwa kuuliza kwanza nataman kujua haya nakampuni ni ya nchi gani na je bank kuu wanataarifa za kutosha kuhusu uwepo wake? Pili hawa wamiliki pesa hizi ni halali kweli au
Mawazo yangu binafs yamenipeleka kuwaza huenda wamiliki wakubwa ni viongozi wetu wakubwa ma hapa tunahitaji Bank Kuu BOT ichunguze kwa umakini uwepo wake na uhalali wake sambamba na kujua wamiliki wake halisi isijekuwa kuna utakatishaji wa fedha za umma iwe tz, kenya au popote kwa sababu jamaa wanatoa hela kama njugu afu bila wasiwasi
Pia polis wangalie nao kwa upande wao usalama wa watu wake ambao watashindwa kurejesha manake tunakopeshwa na mtu ambaye hatumuoni tumaelekea mwaka wa uchaguzi isijekuwa pesa chafu ndio zinaandaliwa njia yake. Bank kuu, Polisi Tanzania.
Asante msinitukane sana uandishi wangu hata mi mwenyewe haunivutii kabisa ila najikaza tu