Recent content by Juma WALEO

  1. Juma WALEO

    Njia ya kupambana na huzuni na hisia zenye kuumiza moyo

    ha!ha!ha1 si unaweza ukajiuaa
  2. Juma WALEO

    Njia ya kupambana na huzuni na hisia zenye kuumiza moyo

    How? Hebu fafanua kidogo maana dua tunaomba still sadness touch us
  3. Juma WALEO

    Njia ya kupambana na huzuni na hisia zenye kuumiza moyo

    Inahitaji ujasiri sana si unajua ukiwa na huzuni hata ukakamavu unafeli unaweza kuhisi ukibembeleza ataelewa
  4. Juma WALEO

    Njia ya kupambana na huzuni na hisia zenye kuumiza moyo

    Watu wote tunajiskia vibaya tunaumizwa na mapenz na maisha kwa ujumla, hebu tusaidiane nini cha kufanya kutuliza huzuni?
  5. Juma WALEO

    Kwanini wanaume huwa na michepuko?

    hii thread haijajitosheleza bado haina sifa yakuchangwa
  6. Juma WALEO

    Je, Fantasy yako katika mapenzi ni ipi?

    My fantasy bado aisee nawish kumtia mimba demu wa asili ya kiarabu au mnyarwanda
  7. Juma WALEO

    Hivi kwa nini wanawake wengi hawapendi kuangalia na wanachukia porn?

    Hujafanya utafiti vizuri wanatazama tena sana tu, hivi unadhan hayo mastyle wanayoonyesha kitandani wanayatoa wapi?
  8. Juma WALEO

    Naombeni dawa ya mapenzi tafadhali

    Mimi sitaki kusema mengi jamani ila kila mtu anajua mapenzi yanavyoumiza, hebu tupeane njia za kuinjoy mapenzi bila stress.Labda kuna njia ya kuweza kuzuia maumivi jamani, kwa yeyote anayefahamu namna ya kujizuia na haya maumivu.
  9. Juma WALEO

    Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

    Wakuu kwanza naomba ufafanuzi hivi kweli kuna mba wa kurithi? maana unaweza kukuta mtu msafi lakini mba unajitokeza Pili ipi dawa ya mba inayotibu kiuhakika maana nshatumia hizi whte field tubes lakin wapi Kwa anayejua anijuze tafadhali
  10. Juma WALEO

    Mwambusi kaachia ngazi MCC FC

    Wewe unaangalia TBC wakati wenyewe mbeya city wamepost kwenye page yao mwambusi yupo nani mkweli kati ya wewe Tbc na mbeya city yenyewe bado kuna walakini kwenye thread yk
  11. Juma WALEO

    Huyu mwanaume anavyonisaliti vibaya

    kwakuwa ushajua aina ya mwanaume anayekuoa sasa unauliza nini? Wewe vumilia tu akuletee ukimwi na watoto wa nje hayo mapenzi yako kwa kiswahili safi yanaitwa "mahaba niue"
  12. Juma WALEO

    Simba ya leo

    hadith yako intufundisha nini?
  13. Juma WALEO

    Hivi Fredrik bundala (sky woker) na Roy Maganga wa RFA wapo wapi??

    anhaaa mambo ya USIKU WA WAPENDANAO mimi pia nilijifunza vitu vingi kutoka kwa huyu jamaa
Back
Top Bottom