Recent content by Juma chief

  1. Juma chief

    Nina tattoo makalioni, mume wangu kuniambia nitafute mwanaume mwingine

    Rudiana na yule mvuta bhangi aliyekuchora.. hiyo sifa ya matatoo imeondoa kabisa sifa ya wife material.. hakuna mwanaume atavumia na hayo mamichoro yako ....
  2. Juma chief

    Ushauri kwa Tatizo la Mahusiano na Usaliti Kazini

    Kipara ushanyolewa..kujitwisha gunia la misumari ni chaguo lako...
  3. Juma chief

    Kwa niliyoyashuhudia leo asubuhi, nakazia kusema kuwa Daladala ni usafiri wa maskini kutoka na watu wasiostaarabika

    Bila ya uwepo wa maskini tajiri atajulikanaje sasa..??..hivi watu wengine mnafikiri kwa kutumia makalio..???... Yaani unashangaa kukutana na kundi la maskini kwenye usafiri wa umma...
  4. Juma chief

    WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

    ''na hata namna ya kufikiri uliyonayo ni wao wameishape ikawa hivyo".... Duuhh hii ni ngumu kumeza mkuu.. Thanks Quote
  5. Juma chief

    Wajibu wa wanawake walioolewa katika kutunza familia na waume zao

    Binafsi suala usafi na usmart wa mwanaume unaanza na yeye mwenyewe kwanza kujijali halafu mke anatembea na hiyo beat.. Sasa kama M/me mwenye hujijali tusilaumu sana wanawake ... Maana na yeye anakuona ni wa hivyo... M/me ukiwa na tabia za usmart itamlazimu m/ke kuwa hivyo pia..."pay u're self...
  6. Juma chief

    Kamala Harris is not a natural-born citizen of the United States

    Us ni kama Dar tuu ,hakuna mwenye yake....wahamiaji watupu...
  7. Juma chief

    Kama waziri alimtongoza demu wa Diamond kisha kumtaka atunge wimbo wakuisifia serikali; wasanii wengine wanapitia madhila kiasi gani?

    Kutongozwa KE ni kama maji na viumbe hai....haikwepeki. issue ni kukubali au kukataa tongozo....
  8. Juma chief

    Stendi mpya ya mabasi Nyegezi yaanza kazi, ni zaidi ya Airport

    Ilebstend ya chato ingewezekana kubebebwa ingebebwa kuhamishiwa geita mjini ...
  9. Juma chief

    Ulishawahi kukutana na mtu mwenye ugonjwa wa Low Latent Inhibition: Fahamu ugonjwa wa Low latent inhibition

    Hawa jamaa wa upinde wamekaba mpka huko.....na rangi zao..
  10. Juma chief

    Wenye elimu ya dini nisaidieni: Ni ipi hekima iliyojificha katika mateso makali wayapatayo wanyama?

    Tuiache nature ifanye kazi yake kubalance maisha ya viumbe hai na vinavyowazunguka...sometime nature is very brutal....
  11. Juma chief

    Wahanga wa 'Plea Bargain' waomba Jaji Biswalo asimamishwe kupisha uchunguzi

    CAG ye mwenyewe hayupo kihalali halafu anachinguza yasiyo halali..(Kwa sauti ya zito zuneri kabwe)....
  12. Juma chief

    Kiwango cha elimu cha Maulid Kitenge?

    Ukishajibiwa ukaridhika,swali la pili waulize wanazengo ukwasi wake,Hilo nalo muhimu kulifahamu,
  13. Juma chief

    Je, kuna faida gani ya kuwa na mikutano ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi?

    Kwa sababu ndio mwanzo wa kampeni za vyama Kwa ajiri ya chaguzi inayofuata...kimkakati zaidi...
  14. Juma chief

    Tupeane mbinu za kuweza kujidhibiti na uraibu wa soda

    Kuna dada mmoja mama lishe bila Pepsi 3 Kwa siku??.. anahangaika kama anatafutwa na pride au finca..Bandani kwake soda za wateja anamilizaga yeye kwanza .. nikamuhesabia 3x30=90 ambapo 90x12=1080 soda Kwa mwaka SAWA na wastani wa kreti 45 Kwa mwaka....
Back
Top Bottom