Nchi yetu,,na jamaa barabarani wamechachamaa,,sasa hivi barabarani kosa dogo,ukimwambia afande samahani nisamehe hili kosa nakwenda kurekebusha,,basi ile ya kubrashia viatu walioambiwa hawaitaki tena,,lazima uwe nayo ile nyekundu ndipo upate msamaha,,vinginevyo unapata cheti chako dakika 5 hazizidi,