TRA, hii ni sehemu ya mikakati wa kuhakikisha watanzania wanaishi kama mashetani?

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,582
6,627
ee262913f11f4aeee21e54c8347c8dc5.jpg


Sheria hii imeibuliwa na utawala wa Rais Magufuli. Si ajabu kuwa wapinzani wake wataibuka na kuueleza umma wa watanzania kuwa "Madikteta wengi hutumia sheria kandamizi zilizopo kuhalalisha vitendo vyao dhidi ya wananchi wasio na hatia".

Naamini ni watanzania wengi sana wataathirika. Nahisi magari mengi yataondoshwa barabarani kwa lazima. Nahofia kuwa kuna mkakati maalumu nyuma ya hili na tusipoangalia chuki itakayojengwa dhidi ya serikali toka kwa wananchi itakuwa ya ajabu sana.

Waliowahi na wanaomiliki magari/vyombo vya moto wataishi maisha gani?

Ni kwanini sheria ni ya 2001 lakini inaibuliwa makabatini sasa?

Kwanini haijatolewa grace period?

Kwanini hakujawa na namna bora ya kuliweka sawa hili?
 
Tumeipenda wenyewe ....... ndi ndi ndi
Chaguo letu wenyewe ........ ndi ndi ndi
Wacha tuisome namba...........................................
 
Nchi yetu,,na jamaa barabarani wamechachamaa,,sasa hivi barabarani kosa dogo,ukimwambia afande samahani nisamehe hili kosa nakwenda kurekebusha,,basi ile ya kubrashia viatu walioambiwa hawaitaki tena,,lazima uwe nayo ile nyekundu ndipo upate msamaha,,vinginevyo unapata cheti chako dakika 5 hazizidi,
 
Nchi yetu,,na jamaa barabarani wamechachamaa,,sasa hivi barabarani kosa dogo,ukimwambia afande samahani nisamehe hili kosa nakwenda kurekebusha,,basi ile ya kubrashia viatu walioambiwa hawaitaki tena,,lazima uwe nayo ile nyekundu ndipo upate msamaha,,vinginevyo unapata cheti chako dakika 5 hazizidi,
mkuu mie huwa siombi msamaha nalipa tu kwa kuassume naichangia serikali yangu though serikali ya awamu hii kipaumbele chake ni ccm kuliko Tanzania,hilo tu ndo shida yangu kwa serikali hii ya viwanda
 
Serikali ya Rais Magufuli inaonyesha kivitendo umuhimu wa bunge katika kutunga sheria na umuhimu wa wananchi katika kuzifahamu sheria.

Kwa sababu sheria zilikuwa hazifuatwi ndiyo maana hata umuhimu wa bunge haukuonekana na pia sheria hazikufahamika kwa wananchi.

Utendaji wa serikali ya Rais Magufuli unaonyesha umuhimu wa bunge kuwa na wabunge wanaofahamu wanachokifanya badala ya kuwa bunge ni sehemu ya social gathering and concumbine.

Kuna baadhi ya watu watadhani hii ni sheria mpya au watashangaa uwepo wa hii sheria kwa sababu yaliyokuwa yanafanywa na wabunge bungeni hayakuweza kuonekana kama yanawagusa na kwa sababu hiyo hawakutaka hata kutaka kufahamu sheria zinazotungwa bungeni.

You don't know how it feels till it happens to you!
 
Hii sharia sio imeibuliwa ni kuwa ilikuwa haifuatwi! Namkumbuka mwalimu wangu mmoja wa mambo ya Finance, alikuwa Internal Auditor wa Chuo Kikuu kimoja maarufu sana Hapa Tanzania(RIP). Alisema nanukuu lakini isiyo rasmi.

'Wengi huwa wanavunja sharia, wanapindisha sheriana kuiba pesa za uma., kama jana wahakukamatwa basi watakamatwa leo, kama hawakukamwatwa leo basikesho. Ni laima tu iko siku watakuja kukamatwa...'

I wish angekuwepo leo hii kushuhudia.

Kusema kweli kulikuwa na uzembe Fulani tu. Tena wengine watakumbwa na sheria hii si kwa kuwa walikuwa na nia ya kuiba bali ni uzembe tu. Kutobadilisha umiliki wa gari n.k.

Ila tu wito muda maalumu ungetolewa ili kuwawezesha wadaiwa waweze lipa bila maumivu makubwa!
 
Sheria zngne hizi hmmm,
Technology ynywe tupo nyuuuuuuma sana ila mbwembwe kbao tukarpot ili data zfutwe kwnye system...hmmm,cjui kwa nn naona haiko sawa hmmm
 
Back
Top Bottom