Recent content by julius junior

  1. julius junior

    Tumieni VPN kama internet iko slow sana

    mkuu hiyo link nkifungua nashindwa kudownloa inaleta mambo mengi hayaeleweki😢
  2. julius junior

    CCM tufungilieni mitandao maisha yaendelee, tayari mmechukua nchi nzima kwa kishindo!

    Hii ndo point sasa, watufungulie intenet yetu! mi sina mpango na mauchaguzi yao hata akiongoza Mbuzi fresh tuu
  3. julius junior

    Mtu mwenye akili timamu hawezi kushiriki uchaguzi wa Tanzania

    Kupiga kura Tanzania ni sawa na kupaka rangi upepo, niliapa tangu 2015 sitorudia kosa kwa kupoteza muda kwenda kupiga kura! 🚮🚮🚮
  4. julius junior

    Tumieni VPN kama internet iko slow sana

    Sa hiyo VPN unaidownload na nini akati mtandao hakuna
  5. julius junior

    Tatizo la LUKU kuisha haraka

    Inawezekana kuna tatizo kwenye earth system.... either hakuna unyevu kwenye eart rod au wiring system ina shida. jaribu kuhakikisha pale earth wire inapofukiwa (earth rod) unapamwagia maji mara kwa mara pawe na unyevu.... ikiendelea kuwa hivyo cheki na fundi
  6. julius junior

    Zikithibitika tuhuma dhidi ya Makonda, Rais atapaswa kuwajibika pia

    Siasa za bongo!!! Hivi inamaana hakuna mtu/watu waliosoma na huyo Bashite Secondary???? kama ni kweli kwann sijaona mtu aliyejitokeza akasema huyo RC alisoma nae akiwa anaitwa Bashite??
  7. julius junior

    NAHITAJI FUNDI WA GYPSUM

    nina design aina nyingi sana, ni wewe tuu... kama ni contract kubwa ni pm tufanye kazi
  8. julius junior

    simu C9 au boom J8 inahitajika leo

    ipo c9 rangi nyeusi, pm tafadhali
  9. julius junior

    Maziwa ya jumla

    upo mkoa gani
  10. julius junior

    Shamba linauzwa Njombe Lupembe

    Unauza kuanzia ekari ngapi mkuu
  11. julius junior

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Vikindu

    Milioni moja Napata ukubwa gani? maeneo hayo yana umeme na maji?
  12. julius junior

    Tunatoa lock ya simu yoyote isipokua iphone

    Nokia Lumia ipo imelock, inanipa dakika mil 1 ndo niweke tena pattern!! mekata tamaaa natamani niitupe je hiyo unaweza ku unlock??
  13. julius junior

    Natafuta kiwanja cha kununua

    mazungumzo yapo?? je unakubali malipo kwa awamu??
Back
Top Bottom