Kinachofanya watu wazushe ni serikali kuficha taarifa... Mfano wakati rais anaumwa unasema rais anaumwa tunaomba privacy...
Sasa kusema rais anapiga kazi na haonekani sio sawa.
Equally saga ya VP Mpango eti kapotea mwezi haonekani ni mwendelezo wa kuficha taarifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.