jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,776
- 7,683
Record kutoka hospital ya mtoto kua na cancer ipo au hiyo cancer imekuja one onekana baada ya kifo cha mtoto!? Upelelezi uanzia hapo, ukiwahusisha na team ya wataalamu wa afya hadi wale wa forensic!!DED anahojiwa anakuambia amefuatilia mpaka shuleni kabisa amejiridhisha bila shaka mtoto amefariki kwasababu ya cancer aisee!!