Mm napenda kusema mapenzi mashenzi sana unakuwa kwa mahusiano miaka 5 mtu anakwambia mm na ww basi [emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi ni kama gwaride na watu awapendi kuwa wahuni ila mpnz yanawafanya kuwa hivyo
Hiii ni tatizo kweli hatari mahusiano ayaingiliwi hata kidogo ungemuacha mwenyewe aone , nilijua wanawake tu kumbe na men piaa wanaharibu ahhhhhh ngachoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.