MGOGO27
JF-Expert Member
- Jan 5, 2016
- 459
- 216
Jamaa noma sn for real!Ndio hivyo tena yametokea. Sasa nifanyaje?
Jamaa noma sn for real!Ndio hivyo tena yametokea. Sasa nifanyaje?
una bahati wewe!!!!Ndio hivyo tena yametokea. Sasa nifanyaje?
True. Temptation zilizidi!
Yaani hiki ndicho nilichotaka kukiandika japo ni thread ya zamani, huyu hana mshipa wa haya kabisaMi nakushauri uende ukajitambulishe kwa wazazi wake ili nae umuoe kabisa
Siku akinasa ndo utajuwa.... na mtoto siiui mkeo atamwita nani...!!Habari wana JF,
Mimi nimeoa mwaka jana na tuna mtoto mmoja. Tunaishi vizuri tu na mke wangu. Tunapendana. Tatizo lililopo ni kwa mama mkwe. Kwa muda mrefu amekuwa akinitega kimapenzi. Akija nyumbani kwangu hasa mke wangu akiwa kaenda kazini huwa anakaa kwenye kochi na kuyaacha mapaja yake nje nje. Nikikaa naye karibu huwa ananishika shika makusudi.
Sasa jana uvumilivu ukanishinda. Alikaa tena kwenye kochi na kuyaacha mapaja yake wazi . Nikamshughulikia! Alijilengesha mwenyewe. Baada ya kumaliza kumshughulikia ipasavyo akanisifia eti najua sana kufanya mapenzi. Anataka tena!
Naombeni ushauri please kabla mke wangu hajajua. Akijua itakuwa balaa.
Makubwa dunia kwishiney
Habari wana JF,
Mimi nimeoa mwaka jana na tuna mtoto mmoja. Tunaishi vizuri tu na mke wangu. Tunapendana. Tatizo lililopo ni kwa mama mkwe. Kwa muda mrefu amekuwa akinitega kimapenzi. Akija nyumbani kwangu hasa mke wangu akiwa kaenda kazini huwa anakaa kwenye kochi na kuyaacha mapaja yake nje nje. Nikikaa naye karibu huwa ananishika shika makusudi.
Sasa jana uvumilivu ukanishinda. Alikaa tena kwenye kochi na kuyaacha mapaja yake wazi . Nikamshughulikia! Alijilengesha mwenyewe. Baada ya kumaliza kumshughulikia ipasavyo akanisifia eti najua sana kufanya mapenzi. Anataka tena!
Naombeni ushauri please kabla mke wangu hajajua. Akijua itakuwa balaa.