Hivi kama watu hamna cha kuandika si bora mngekuwa mnaleta hadithi za Juma na Uledi tu tukajua moja.. kila siku jambo lile lile, mada ile ile, mtu yule yule mpaka manaonekana kama majingaaa flan hv.. its better to stay quite lather than expose your stupidtyy
mkuu tulikuwa tunaona vichaka vya moto vina move.. around uwanja wa shule na vingine vilikuwa vinafuata wanafunzi walipo tufikii kabisa.. kama umbali wa 100m. hapo watu walikuwa wanakaribia kujikojolea
Aisee hii isue ilikuwa kweli kabisa.. tukiona moto tunajikusanya pamoja na wajuvi wa mambo walikuwa wanatuonya tusikimbie kabisa so tunarundikana pamoja kwa uoga, mpaka wachawi wanaondoka kabisa..
hapoMkuu kwenye kulinda nguzo za umeme umeme umenikumbusha mbali sana..tulikuwa tunalinda zamu ya masaa mawili mawili kila bweni, shy bush ikiwa na mabweni matano.. kipindi hicho nipo bweni la , mh. D. Kafulilaa akiwa bweni la tembo.. tukitoka kulinda nguzo tunashuhudia mioto ya wachawi wa...
Kama SUA (Sokoine University of Agriculture) wanafundisha panya na panya wanaelewa, hapa tunafundisha binadamu na hawa binadamu hawaelewi, je kati ya hao panya na hawa binadamu nan bora zaidi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.