Recent content by JUDAMANY

  1. J

    JamiiForums Tanzania Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

    Naomba niangalizie hii mkuu S1802/0173 shule inaitwa Bweri
  2. J

    JamiiForums Tanzania Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

    Naomba usichoke mkuu kutusaidia.. hii pia tafadhali S1802/0173
  3. J

    JamiiForums Tanzania Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

    Asante mkuu
  4. J

    JamiiForums Tanzania Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

    Mkuu naomba niangalizie S.2078/0042
  5. J

    JamiiForums Tanzania Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

    Naomba mnisaidia kuniangalizia mdogo wangu hapa hali tete.. namba yake ni S2078/0042
  6. J

    JamiiForums Tanzania Unaweza ukawaamini wapinzani tena?

    Hivi kama watu hamna cha kuandika si bora mngekuwa mnaleta hadithi za Juma na Uledi tu tukajua moja.. kila siku jambo lile lile, mada ile ile, mtu yule yule mpaka manaonekana kama majingaaa flan hv.. its better to stay quite lather than expose your stupidtyy
  7. J

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Asante mkuu..
  8. J

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Heshima kwenu wakuu.. naomba mnijuze kwa anaejua jinsi ya ku withdraw cash, kwa meridian. naona ile sehemu ya Deposit/withdraw haipo. nifanyeje
  9. J

    JamiiForums Tanzania Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    Kweli mkuu.. we ni mbush mwenzangu. Nimepamiss bush na harakati zake..
  10. J

    JamiiForums Tanzania Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    mkuu tulikuwa tunaona vichaka vya moto vina move.. around uwanja wa shule na vingine vilikuwa vinafuata wanafunzi walipo tufikii kabisa.. kama umbali wa 100m. hapo watu walikuwa wanakaribia kujikojolea
  11. J

    JamiiForums Tanzania Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    Aisee hii isue ilikuwa kweli kabisa.. tukiona moto tunajikusanya pamoja na wajuvi wa mambo walikuwa wanatuonya tusikimbie kabisa so tunarundikana pamoja kwa uoga, mpaka wachawi wanaondoka kabisa..
  12. J

    JamiiForums Tanzania Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    hapoMkuu kwenye kulinda nguzo za umeme umeme umenikumbusha mbali sana..tulikuwa tunalinda zamu ya masaa mawili mawili kila bweni, shy bush ikiwa na mabweni matano.. kipindi hicho nipo bweni la , mh. D. Kafulilaa akiwa bweni la tembo.. tukitoka kulinda nguzo tunashuhudia mioto ya wachawi wa...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Kauli CHAFU za walimu darasani

    Kama SUA (Sokoine University of Agriculture) wanafundisha panya na panya wanaelewa, hapa tunafundisha binadamu na hawa binadamu hawaelewi, je kati ya hao panya na hawa binadamu nan bora zaidi..
  14. J

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea Mwenza wa urais kupitia CCM, Samiah Suluhu

    Mtikisiko wa kinana ulikuwa wapi..!? Mkutano ulikuwa wa kawaida sana.. hajafika hata nusu ya mikutano ya Wenje.. Honestly Mwanza bado pagumu kwa ccm .
  15. J

    JamiiForums Tanzania Wenje kuwahutubia wananchi wa nyamagana hapo kesho.

    Mi mtu haisomi hata tarehe ya bandiko yanakurupuka tu.. jaman haya si ndo malofa afu wanatusingizia sisi
Back
Top Bottom