Kauli CHAFU za walimu darasani

Kauli CHAFU za walimu darasani

Kama SUA (Sokoine University of Agriculture) wanafundisha panya na panya wanaelewa, hapa tunafundisha binadamu na hawa binadamu hawaelewi, je kati ya hao panya na hawa binadamu nan bora zaidi..
 
"Chagua nikupige sakayonsa au zigzaga" hapo hakuna msamaha tena
 
"Humu darasani kuna maboga ambayo yamebiringishwa na wazazi wao toka nyumbani, muda wa kutoka ukifika yanasubiria waalimu wayabingirishe tena kurudi nyumbani"...

Ah ah ah uhiiii
 
Advance teacher alituambia!
Mnajidai watoto wakati mmeota mananiii yamekuwa magumu kama chuma!

Hapo ndo tumeingia tu form 5!
Nilimchukia hadi alijuaga simpend!
 
"Humu darasani kuna maboga ambayo yamebiringishwa na wazazi wao toka nyumbani, muda wa kutoka ukifika yanasubiria waalimu wayabingirishe tena kurudi nyumbani"...

Aisee!! Kuna watu wanazarau hapa Duniani.
 
Kama huelewi tatzo c mm ila nishangazi yako
 
Mkifaulu wote humu darasani nani atauza miwa kutoa shamba na kuleta mjini.
 
Mwalimu kazi yangu kutoa material 25% na 75% zilizobaki unajitafutia mwenyewe
 
Wakati nikiwa katika shule ya msingi baadhi ya kauli za walimu darasani zilizokua zinaniudhi na kunikatisha tamaa ni zifuatazo:-

1. mkimaliza kuongea nambieni niendelee kufundisha.
2. baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule
3.vichwa vikubwa akili nukta.

Tupia kauli za walimu zikizokua zikikuudhi katika shule ya msingi na sekondari....
Kama math ni ugonjwa wa taifa paulo utamkosa kweli?
 
Kubyula sio kuona, mwalimu njile milambo sekondari tabora
 
Ukiskia kukurukakara huko chini ujue hayo ni mawe yanahamishwa toka nyarugusu kwenda california! Mwl wa geography huyo alikuwa anafundisha theory ya continental drift
 
hata mkikaa kimya mshahara wangu upo palepale nyinyi ni ng'ombe wa bluu
 
Back
Top Bottom