Unaweza ukawaamini wapinzani tena?

Tunutu kiwavi

JF-Expert Member
Jul 2, 2016
528
215
Hawa ndugu zetu walipaza sauti kwa miaka zaidi ya miaka 7 wakituaminisha kuwa Lowasa ni fisadi.

Wakatembea karibu nchi nzima na list yao of shame wakidai kuwa wanaushahid juu ya list hiyo kuwa wote waliotajwa kwenye hiyo ni hatari kwa kwa nchi.

Mungu si athumani baada tu Lowasa kuhamia kwao wakaamua kumsafisha uchafu wote waliompigia, bila kutuambia lini walimtoa kwenye list of shame? , na Kwa kigezo kipi? .

Na kama hakusika kwann waliamua kumsingizia? . Sasa kama waliweza kumsingizia Lowasa kwa kiasi kile wakidai wana Ushahidi, unaweza ukawaamini wapinzani tena?

Hata sasa wanavyowatuhumu wabunge wa CCM walihongwa kupitsha mswaada wa sheria ya habr yataka moyo kuyaamini hayo wanenayo maana wako vizuri kukanusha yaani si mchezo.

Maana hata hawa wabunge wakihamia kwao wanaweza kusafishwa. Wanatuhumu mengi kuhusu serikali hii ya awamu ya tano kama list of shame ilkuwa ya uongo hata hayo Wanatuhumu usiyaamin yanaweza kuwa ya uongo.
Hawa ni mabingwa wakubuni uongo na kukanusha
 
Hivi kama watu hamna cha kuandika si bora mngekuwa mnaleta hadithi za Juma na Uledi tu tukajua moja.. kila siku jambo lile lile, mada ile ile, mtu yule yule mpaka manaonekana kama majingaaa flan hv.. its better to stay quite lather than expose your stupidtyy
 
LOWASA anawaumiza vichwa sana MAGAMBA.. Baada ya kumshauri mkuu awape wana KAGERA mshiko wao, upo na LOWASA TU.
 
Pia Usisahau kwamba Wakati Wapinzani Wakidai LOWASSA Ni Fisadi CCM Walikataa Katakata. Ila Baada Tu LOWASSA Kuhamia Upinzani CCM Wakakubali Kwamba LOWASSA Ni Fisadi Tena Inabidi Afikishwe Kwenye MAHAKAMA YA MAFISADI. Mahakama Ambayo Hadi Leo Haina Tofauti Na Ule Wimbo Wa MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA Au Ule Wimbo Mwingine Uitwao MNIOMBEE.
 
Hivi wewe unaona kuna upinzani tanzania hapa au kuna wasaka kula ruzuku tuuu. Watu walio kuwa wakishambulia ufisadi halafu sasa hivi wanatokwa povu kutetea na kuzungumzia njaaa na tetemeko.
Mimi sina imani na hawa jamaaa
 
Katikakitu ambacho maMvi amewaweza Chadema basini kuamia Chadema na Kwa vinywavilevile nanguvuileile iliyomchafua sasainamsafisha.Mungu Ametufunulia na tumeuona unafikiwaChadema/ukawa.amakweli nimeamini mungu hamfichimnafiki.

Kaziya kumsafisha maMvi wanaifanya kwagharama na fedhea kubwa.
 
IMG-20160826-WA0005.jpg
13891892_899088143550673_8969728429604604396_n.jpg
 
Wakati wapinzani wanasema Lowassa ni fisadi hamukuwadai ushahidi ili Lowassa apelekwe mahakamani,CCM wanasema Lowassa ni fisadi mpelekeni mahakamani CCM wakathibitishe kwa kuwa ushahidi wanao.
 
Hivi kama watu hamna cha kuandika si bora mngekuwa mnaleta hadithi za Juma na Uledi tu tukajua moja.. kila siku jambo lile lile, mada ile ile, mtu yule yule mpaka manaonekana kama majingaaa flan hv.. its better to stay quite lather than expose your stupidtyy
Hampend polen mnataman tusahau ila wap
 
huna maswali ya maana kuhusu wachumi waongo.Wataalamu km wapiga ramli kila mahali?Hii ni laana.
 
Mnaacha kujadili vipi tutamsaidia rais wetu kuongeza ugumu wa maisha ili heshima izidi kutawala mnaropoka utumbo
 
Wakati wapinzani wanasema Lowassa ni fisadi hamukuwadai ushahidi ili Lowassa apelekwe mahakamani,CCM wanasema Lowassa ni fisadi mpelekeni mahakamani CCM wakathibitishe kwa kuwa ushahidi wanao.
Kama kila fisadi lazima apelekwe mahakamani bas tanzania hamna fisad. Hat hao mnaowaotuhum kuwa ni mafisad kama wakina chenge nao sio mafisad maana hawajapelekwa mahakamani
 
Hawa ndugu zetu walipaza sauti kwa miaka zaidi ya miaka 7 wakituaminisha kuwa Lowasa ni fisadi.

Wakatembea karibu nchi nzima na list yao of shame wakidai kuwa wanaushahid juu ya list hiyo kuwa wote waliotajwa kwenye hiyo ni hatari kwa kwa nchi.

Mungu si athumani baada tu Lowasa kuhamia kwao wakaamua kumsafisha uchafu wote waliompigia, bila kutuambia lini walimtoa kwenye list of shame? , na Kwa kigezo kipi? .

Na kama hakusika kwann waliamua kumsingizia? . Sasa kama waliweza kumsingizia Lowasa kwa kiasi kile wakidai wana Ushahidi, unaweza ukawaamini wapinzani tena?

Hata sasa wanavyowatuhumu wabunge wa CCM walihongwa kupitsha mswaada wa sheria ya habr yataka moyo kuyaamini hayo wanenayo maana wako vizuri kukanusha yaani si mchezo.

Maana hata hawa wabunge wakihamia kwao wanaweza kusafishwa. Wanatuhumu mengi kuhusu serikali hii ya awamu ya tano kama list of shame ilkuwa ya uongo hata hayo Wanatuhumu usiyaamin yanaweza kuwa ya uongo.
Hawa ni mabingwa wakubuni uongo na kukanusha
Huna mambo mengine ya kuongea, watanzania walishaamua awe fisadi awe vyevyote vile walimpa kura milioni 6, wewe bado unangonjera zilezile kweli sikio la kufa halisikii dawa.
 
Hawa ndugu zetu walipaza sauti kwa miaka zaidi ya miaka 7 wakituaminisha kuwa Lowasa ni fisadi.

Wakatembea karibu nchi nzima na list yao of shame wakidai kuwa wanaushahid juu ya list hiyo kuwa wote waliotajwa kwenye hiyo ni hatari kwa kwa nchi.

Mungu si athumani baada tu Lowasa kuhamia kwao wakaamua kumsafisha uchafu wote waliompigia, bila kutuambia lini walimtoa kwenye list of shame? , na Kwa kigezo kipi? .

Na kama hakusika kwann waliamua kumsingizia? . Sasa kama waliweza kumsingizia Lowasa kwa kiasi kile wakidai wana Ushahidi, unaweza ukawaamini wapinzani tena?

Hata sasa wanavyowatuhumu wabunge wa CCM walihongwa kupitsha mswaada wa sheria ya habr yataka moyo kuyaamini hayo wanenayo maana wako vizuri kukanusha yaani si mchezo.

Maana hata hawa wabunge wakihamia kwao wanaweza kusafishwa. Wanatuhumu mengi kuhusu serikali hii ya awamu ya tano kama list of shame ilkuwa ya uongo hata hayo Wanatuhumu usiyaamin yanaweza kuwa ya uongo.
Hawa ni mabingwa wakubuni uongo na kukanusha

Mkuu, hawa UKAWA ni vichwa maji na hawajitambui mno. hapa utakesha na hawatakuelewa. yaani wao wameshachagua upande wa kutojielewa, ndio maana hata wanaloliita baya leo, kesho utashangaa wamebadilika wanaliita zuri.

UKAWA kwa kweli tuwaombeeni tuu Mwenyezi Mungu awahurumie, hawajui walitendalo. Yaani Lowasa the bloody anti-UKAWA, eti leo ndio anasujudiwa na UKAWA.

Hii Dunia haitaisha maajabu.
 
Back
Top Bottom