Hivi unajua sera ya michezo ya Taifa inasemaje kuhusu michezo.Usije kuwaza kuwa Siku moja hizi timu zitakabidhiwa kwa mwekezaji sahau hiyo kitu.Haya yote yanafanyika ni danganya toto tu bado sera yetu inasema michezo ni burudani.
Mpango wa Iran ni kuishinikiza Marekani amwambie jamaa yake Israel asitishe vita ya Gaza kwa kudumu.Iwapo atafanikiwa Iran ataongeza ushawishi mkubwa sana Mashabiki ya Kati kidiplomasia.Iran anaicheza vizuri sana hii karata pande zote mbili.Ngoja tusubiri kama Israel itakubali kumaliza vita...
Nasikia maumivu sana juu ya huyo Mkurugenzi wa Luwasa,jamani wananchi wa Manispaa ya Lindi wanateseka huu ni mwaka wa Pili hakuna maji maeneo ya Rahaleo,Sokoine,kariakoo,Likotwa,mhimbili,rasbura.ni haibu watu wanatumia maji machafu ya visima.dumu la maji Lita 20 tsh 500 mwananchi wa kawaida...
Uko vizuri sana Comrade kwakweli kwa wale wenye weledi wa uongozi tunaona kabisa kwamba nchi inaenda mikononi mwa mtawala, haiwezekani taasisi ya Urais iwe ndo kila kitu tena anakiamua yeye kama yeye jamani haiwezekani hii ni nchi si nyumba kwamba yeye ni baba nyumba wa kupanga kila kitu Leo...
Bazoka,jaribu kufuatilia vyanzo vingine vya habari ili upate muda wa kufahamu ukweli, Marekani, Uturuki ndiyo wafadhiri wakubwa wa IS, Turkey ndio Camp ya mafunzo kwa hao magaidi. Magaidi wametengenezwa na Magharibi kuharibu nchi nyingine kwa manufaa yao. Marekani hapambani na magaidi zaidi ya...
Mtoa posti jaribu kutafuta maarifa ya kutosha kwa kile unachotaka kupost, Iran hana nuke, lakini Syria anapambana na hao magaidi ambao Marekani anawaita wapigania uhuru, anawapa silaha, fedha, mafunzo kwa kushirikiana na ukoo wa Saud.
Ukweli ni kuwa wenzetu hawana majungu wanaongea ukweli na si kupakana matope kama kiongozi ni dhaifu kwenye nyanja fulani huambiwa udhaifu wake. Mfano Trump anakosolewa kwa matamshi yake ya kibaguzi kwa watu wa imani ya kiislamu, anabagua wahamiaji, anabagua wamarekani wenye asili ya Afrika, na...
Ni makala nzuri ambayo imejaribu kugusa uhalisia wa mtanzania wa hali ya chini na wa kati. Nichangie kwenye paye kwa kweli ni kero kubwa kwa watumishi, 18%ni kubwa ila kwa vile ilijadiliwa kule bungeni tuombe Rais asikie hiki kilio huenda bajeti ijayo itoe nafuu kwa wavuja jasho hawa wa...
KakaKiiza
Kasi ya Lowassa kufuatilia malengo yaliyokubaliwa ndo inawasumbua,wanajua mziki wa Comrade akitangaza ziara sehemu yako ya kazi hupati usingizi hadi ukamilishe malengo hizo ndo figisufigisu za kumkataa Che wa tz Lowassa.wazalendo tumewajua hao na huu2015 mwisho wao!!Hastle Vista...
For sure my friend those who hate him are irresponsible ones they are not eager to work hard!!VIVA COMRADE Viva Lowassa together we build this nation!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.