bazoka
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 300
- 141
Heri ya Pasaka kwenu wapendwa wa jamiiforum ni matumaini yangu mpo salama kabisa!
Kuna jambo leo nahitaji kupata uelewa zaidi toka kwenu maana sometimes naweza kuwa sipo sahihi ila kwa majibu na maoni yenu naweza kupata mwangaza sahihi!
Wiki iliyopita yametokea matukio mawili ya ulipuaji wa mabomu katika mji wa Brussels huko Ubelgiji lakini cha kushangaza sijaona popote pale Mataifa ya Kiarabu yakikemea kilichotokea Brussels as if hawajasikia chochote!
Lakini swali la kujiuliza mbona akiuwawa Mpalestina mmoja pale Gaza basi Mataifa yote ya Kiarabu yakilaani kwa Kiwango kikubwa na Mataifa mengine kama Iran yakitishia kuishambulia Israel kwa makombora ya Nyuklia!
Lakini pia tumeona hata madhila wanayofanyiwa Wapalestina na Waisrael Marekani na Mataifa ya Ulaya yamekuwa mstari wa mbele kukemea mambo hayo lakini Waarabu wao wenzao wakifanya Ugaidi wanaona ni kama kawaida sana na hao magaidi hawafai kulaumiwa wala kukemewa!
Naomba kuwasilisha!
Kuna jambo leo nahitaji kupata uelewa zaidi toka kwenu maana sometimes naweza kuwa sipo sahihi ila kwa majibu na maoni yenu naweza kupata mwangaza sahihi!
Wiki iliyopita yametokea matukio mawili ya ulipuaji wa mabomu katika mji wa Brussels huko Ubelgiji lakini cha kushangaza sijaona popote pale Mataifa ya Kiarabu yakikemea kilichotokea Brussels as if hawajasikia chochote!
Lakini swali la kujiuliza mbona akiuwawa Mpalestina mmoja pale Gaza basi Mataifa yote ya Kiarabu yakilaani kwa Kiwango kikubwa na Mataifa mengine kama Iran yakitishia kuishambulia Israel kwa makombora ya Nyuklia!
Lakini pia tumeona hata madhila wanayofanyiwa Wapalestina na Waisrael Marekani na Mataifa ya Ulaya yamekuwa mstari wa mbele kukemea mambo hayo lakini Waarabu wao wenzao wakifanya Ugaidi wanaona ni kama kawaida sana na hao magaidi hawafai kulaumiwa wala kukemewa!
Naomba kuwasilisha!