Kila nikipata zangu kishikwambi nikimpeleka maghetoni nilikopanga mke wa baba mwenye nyumba ananinunia, asa najiuliza kwa nini ananuna? Au anataka niende nae wapi jamani, wakati nyumba ya kupanga ninayo na ninaishi kama kwangu.
Mwaka jana nilikuwa nakaa huko Kiwalani karibu na uwanja wa ndege, watu wa kwa GUDE mnanielewa uzuri...asa hyo nyumba ni ya familia wa kule kwetu Tanga, shoo lake unapenda unaenda toilet kunanuka dawa kutwa mzima wale watu kwa miti shamba cwawezi
Irudie kuipitia ile clip ya Zitto ndipo uandike huku, unakuja kutuuliza eti kwa cause action ipi? Inamaana wew huoni kuna uporaji au unyang'anyi wa mali za wananchi/wakulima? Huyo Jiwe wenu alidhani korosho ni kama zao la PAMBA yaani mkulima kavuna sana ana GUNIA 3, korosho si PAMBA wala si...
Tulikofikia asaivi ni pabaya...Harufu ya dhuluma inazidi kupanda na kuwakaribia wakulima wa korosho,
korosho kachukua pesa hazijalipwa na maisha yanazidi kuwa magumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.