Tairus
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 680
- 1,068
Vipi kuhusu huyo mwanamke bado anakuheshimu kama mwanzo au baada ya kupata alichokuwa anakitaka kawa mbogo.
Vipi huyo dogo mnafanana au bado unawasiwasi sio wa kwako.[emoji23][emoji23]
Vipi wale jamaa zako uliokuwa unawavimbia huwezi oa demu aina flan alafu ndio zigo ilo apo ndan
Mfano siwezi kuoa beki tatu..
Vipi kuhusu maisha kwa ujumla ebu tupe mrejesho.
Maisha yanaendaje huko na mchepuko wako au ndo tuseme umekubali yaishe*huna mchepuko*
Uzi tayari.
Vipi huyo dogo mnafanana au bado unawasiwasi sio wa kwako.[emoji23][emoji23]
Vipi wale jamaa zako uliokuwa unawavimbia huwezi oa demu aina flan alafu ndio zigo ilo apo ndan
Mfano siwezi kuoa beki tatu..
Vipi kuhusu maisha kwa ujumla ebu tupe mrejesho.
Maisha yanaendaje huko na mchepuko wako au ndo tuseme umekubali yaishe*huna mchepuko*
Uzi tayari.