Mligo Augustino
Senior Member
- Nov 29, 2017
- 126
- 278
Eti "wafanyabiashara wa korosho waipeleke serikali mahakama", kwa cause of action ipi? Je serikali imefanya kosa gani dhidi yao? Ni upuuzi kutafuta umaarufu wa kisiasa kupitia hoja za kitoto kama hizi.
Serikali ina wajibu wa kikatiba wa kulinda masilahi ya wananchi muda wote ndiyo maana iliamua kuingilia suala la kununua korosho za wananchi wake.
Hii ni kutokana na wafanyabiashara kutaka kuwanyonya wananchi kwa kununua kwa bei ya chini.
Wanasiasa wa aina hii hawana ajenda tena. Ajenda ya kupiga vita ya ufisadi iliwafia baada ya wao wenyewe kuwa sehemu ya mafisadi.Rejea the NSSF episode. Kama huna hoja kaa kimya.
Serikali ina wajibu wa kikatiba wa kulinda masilahi ya wananchi muda wote ndiyo maana iliamua kuingilia suala la kununua korosho za wananchi wake.
Hii ni kutokana na wafanyabiashara kutaka kuwanyonya wananchi kwa kununua kwa bei ya chini.
Wanasiasa wa aina hii hawana ajenda tena. Ajenda ya kupiga vita ya ufisadi iliwafia baada ya wao wenyewe kuwa sehemu ya mafisadi.Rejea the NSSF episode. Kama huna hoja kaa kimya.