Wadau wa jamiiforum natumaini ni wazima kutokana napilika za maisha. Niende kwenye mada nikiwa kwenye pilika zangu nikutanana na mtu, katika kuongea habari mbalimbli kaniambia eti YAI LA BUNDI linatafutwa na wanalipa hela ndefu. Eti wadau wa jamiiforum yai LA bundi Lina kazi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.