Recent content by js52471224

  1. J

    Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

    Naomba tutajie jina la huo mti
  2. J

    Nahitaji mwanamke wa kimasai

    Ndugu niunganishe na mrangj wa kondoa
  3. J

    Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

    Asante na ubarikiwe kwa kutukumbusha
  4. J

    Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

    Ukizika kinatokea nini? Mtaalamu Dogoli
  5. J

    Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

    Asante na ubarikiwe sana kwa kutujuza dawa
  6. J

    Mayai ya bundi yana kazi gani?

    Wadau wa jamiiforum natumaini ni wazima kutokana napilika za maisha. Niende kwenye mada nikiwa kwenye pilika zangu nikutanana na mtu, katika kuongea habari mbalimbli kaniambia eti YAI LA BUNDI linatafutwa na wanalipa hela ndefu. Eti wadau wa jamiiforum yai LA bundi Lina kazi gani?
  7. J

    INAUZWA Mashine za bakery aina zote pata kwetu

    Kiongozi hizo machine tuwekee na being?
  8. J

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Asante Magical power hio shabu naipata wapi
  9. J

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Ndio nilienda doctor alinipima akaniambia sina tatizo kwenye macho
  10. J

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Habari wanajukwaa ninatatizo LA macho yanauma kwenye mwanga mkali au jua Kali msaada wenu naweza kutumia dawa gani
Back
Top Bottom