Nauza Passo namba D ina rangi nyekundu low mileage nmeiendesha hapahapa dar imenunuliwa mwaka huu January.Ila kama una IST isiyozidi mwaka toka inunuliwe na unataka tubadilishane kwa 'labda' kukuongezea na hela juu.
Tutafutane PM
TANESCO hata kabla ya kutangaza kuwa mtakata umeme kwa wiki mbili mfululizo kwetu huku mlikuwa mnakata bila hata taarifa lakini kibongo bongo tunavumilia.Sasa ilivoanza hizi wiki 2 ndo imekuwa shida maana mnakata toka saa moja asubuhi mpaka saa6 usiku ndio mnarudisha wakati huo pale Banana na...
Habari wakuu,
Nimekuwa nikifuatilia kwa kipindi kirefu habari za vituo vya televisheni zetu hapa Tanzania lakini hazina mvuto na mshawasha wa kukufanya kesho yake uangalie tena.Huwa nafuatilia habari za Chaneli 10 sa1 usiku halafu nafuata sa1:30 Clouds ambao hao habari zao huwa ni mbili tu au...
Mida hii natoka Bar ya Hongera hapa karibu na chuo cha ustawi,nikaelekea kwenye parking ya upande wa kushoto iliyopakana na uzio wa chuo kuchukua ndinga yangu nakuta mama,Mzee mmoja na mlinzi wamekaa.Nkawasalimia gafla wanasema tumeibiwa hee,kwanza sikuelewa wakanionyesha sehemu ya nyuma ya kioo...
Wadau,
Nina 102kgs, nimeamua kuanza kula mlo mmoja wa mchana tu, huku jioni nikipitisha na maji tu. Breakfast nayo ni Mara moja moja. Lengo langu ni kufika 85kgs.
Je, nini hasara ya njia hii ya kupunguza mwili? Faida pia napenda kuzijua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.