Recent content by JOYCE PAUL

  1. JOYCE PAUL

    JamiiForums Tanzania Kutoka Mahakamani: Mbunge wa Arusha Godbless Lema apata dhamana

    DUH..HATIAMYE....HONGERA ZAKE
  2. JOYCE PAUL

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wa tiba ya kuongeza damu kwa haraka kwa njia asili

    Naombeni msaada jamani kwa mtu anayefahamu njia bora ya asili ya kusaidia mtu kuongeza damu mwilini kwa haraka bila kutumia dawa za hospital.
  3. JOYCE PAUL

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuziba ufa kwenye kwenye kioo cha gari

    asante sana asante sana
  4. JOYCE PAUL

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuziba ufa kwenye kwenye kioo cha gari

    Wajukuu, Naomben Masada. Hivi kioo cha gari kikipata minor crack hivi hamna utaalamu Tz wakuunga ili nisisnunue kioo kipya?
  5. JOYCE PAUL

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio Manabii na Mitume matapeli, tumechoka kuwavumilia sasa

    k wa hili nakuunga mkono kabisa..tatizo watu wamekuwa hawamtafuti mungu kwa kusoma neno lake wao wanafata miujiza...sasa hata akili za la kwanza tu manabii na mitume walikuwa wanatoa unabii na wanatumwa...sasa hawa wanatumwa na nani na mbona unabii wao hatuuoni?ilitakiwa waseme na taifa...
  6. JOYCE PAUL

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio Manabii na Mitume matapeli, tumechoka kuwavumilia sasa

    kumbe wanatafuta riziki...sikujua
  7. JOYCE PAUL

    JamiiForums Tanzania Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

    duh hii elimu ulijifunzia sehemu au kipawa kutoka kwa mungu? iii
  8. JOYCE PAUL

    JamiiForums Tanzania Mapendekezo kwa Serikali: Jinsi ya kuimarisha shilingi ya Tanzania

    ha ha ha ha ha ha ha ha
  9. JOYCE PAUL

    JamiiForums Tanzania Mchumba wangu ana madeni balaa

    anakukomesha huyo..wewe kukaa unamuita mchumba miaka tisa unadhan ni sawa ?kafungeni ndoa huko...
  10. JOYCE PAUL

    JamiiForums Tanzania Wakati Tanzania tukiwa tunashangilia kusimamishwa maofisa TRA, Kenya wanafanya hivi...

    na mimi nilitaka uliza hivyo hivyo....umeniwahi tu
  11. JOYCE PAUL

    JamiiForums Tanzania Nitawezaje kupakua vitabu online bila malipo ?

    nashukuru sana jamani kwa msaada...asanteni ngoja nifanyie kazi hayo maelekezo..nikikwama nta wa PM
  12. JOYCE PAUL

    JamiiForums Tanzania Nitawezaje kupakua vitabu online bila malipo ?

    Polen na majukumu wana jukwaa kwa heshima na taadhima naomba mtu mwenye utaalamu au link ya kuweza kupata vitabu vya masomo ya sayansi jamii anisaidie ili niweze ku download maana nasikia kuna watu wana huo utaalamu.asanteni sana
  13. JOYCE PAUL

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa anayejua kutumia connectfy me kwa ajili ya kupata wi-fi

    WEWE JE SAIDIA BASI AU HADI NJUNWA?:wacko:
  14. JOYCE PAUL

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa anayejua kutumia connectfy me kwa ajili ya kupata wi-fi

    HA HA HA HILI NI JINA NILAMBIWA NA MWALIMU MMOJA WA UDSM KUWA ENZI HIZO HAPO CHUONI WALILITUMIA KUWATAITA WATU WANAOSOMA MASOMO YA SOCIAL SCIENCES(ARTS) YAANI YALE YENYE NOTICE KIBAO ZA KUSOMA MFANO HISTORIA ENGLISH POLITICS NK.NA LILITOKANA NA VITABU VYA KUSOMA VYA MAREKANI NA UK VILE VYA...
Back
Top Bottom