simbamzeewamwakidila
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 1,447
- 379
Nina girlfriend nipo naye kwa miaka Tisa sasa. Nampenda ananipenda. Namuhudumia vzuri tu. Zamani hakuwa na tabia za kukopa vitu na kubaki na madeni. Ila sasa imekuwa balaa. Nilipoingia kwenya ajira nilianzia kazi ofisi zetu za Arusha yeye akabaki Dar na hapo ndipo alipobadili tabia ambayo hakuwa nayo mwanzo. Japo nilikiwa mbali hakuna kilichobadilika kwa kumjali kwa matumizi yake. Ila sijui tabia ya kukopa kaitoa wapi Na nilishamkataza na nikamuambia akiwa na shida ruksa kuniambia na analijua hilo. Ila anapenda tu kukopa. Baadae nikahamia kikazi kurudi mjini DSM. Yaani kila njia tukipita japo ni ndani ya gari ataniambia hapa tusipite na tukipita usishushe kioo flani ataniaona. Nikimtaiti anasema ananidai nilikopa wigi. Hii tabia inanishinda sasa. Anadaiwa had kwenye vibanda vya baga. Saluni nyingi haendi ameacha madeni. Maduka zaidi ya sita maeneo ya kwao mikocheni anadaiwa. Wanafunzi aliomaliza nao udsm mwaka huu karibia mashosti wake wote wanamdai. Nishafanya juhudi zote kumkataza na kuyalipia madeni yake ila anarudia na anakopa tena. NIFANYEJE?
Hafai huyo