Naombeni msaada wa tiba ya kuongeza damu kwa haraka kwa njia asili

JOYCE PAUL

JF-Expert Member
Jan 8, 2010
1,005
82
Naombeni msaada jamani kwa mtu anayefahamu njia bora ya asili ya kusaidia mtu kuongeza damu mwilini kwa haraka bila kutumia dawa za hospital.
 
Beetroot inasaidia sana. Unaeza ikata kata into small slices kama crips ukachemsha kidoogo ukayala. Au ukaya blend ukanywa kama juice. Ktk juice yako unaweza changanya na carot kuweka ladha. Hiyo ikikushinda tembele ni sln nyingine. Sio lile la kuunga!
Ili likuoongezee damu lichemshe kidoogo ndo ulile. Au unaeza liblend pia ukanywa kama juice. Ili lisikushinde kunywa changanya juice yako na tunda la passion.
 
Tembele mateke
Yapikishe kwanza ndio chemsha na chumvi na maji kidogo ulinywe mara 3 kwa siku kwa wiki
 
Maparachichi ni kiboko aisee, nilikuwa nakatabia ka kula parachichi kila siku asubuhi kabla sijala kitu chochote, hali hii ilipelekea kuwa na damu nyingi, pili ngozi yangu ilikuwa soft na yenye kuvutia sana
 
Back
Top Bottom