Recent content by Joyce Gaitan

  1. Joyce Gaitan

    WhatsApp inapoteza sana muda

    Na bado kidogo Telegram pia itaingia kwenye orodha...ndo hivyo tupo kwenye ulimwengu wa mitandao ndugu yangu.
  2. Joyce Gaitan

    Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani
  3. Joyce Gaitan

    Naomba kujuzwa dawa ya kupunguza Appetite

    😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  4. Joyce Gaitan

    Dhana ya kumwangalia mtu machoni

    Uzi umejaa na umeeleweka kaka Mshana Jr
  5. Joyce Gaitan

    Mahakama yavunja ndoa iliyodumu miaka 21 bila wanandoa kushiriki tendo la ndoa

    kwakweli mtihani sana..ndo mana kuna kuonjana jamani..[emoji48] Sasa miaka 21 Rebeca alikuwa anaishi vipi? Huko chini kunakunywa uji?
  6. Joyce Gaitan

    Pesa imeanza kuonekana ipo nyingi sana mtaani, mama ana kismati sana

    Naomba urafiki wa karibu na wewe ili unifundishe jinsi ya kupata Mil. 12 kwa siku moja. [emoji855][emoji855][emoji855]
  7. Joyce Gaitan

    Pesa imeanza kuonekana ipo nyingi sana mtaani, mama ana kismati sana

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  8. Joyce Gaitan

    Ni vipi kama haya maisha tunayoishi ni ndoto

    Japo uzi ni wa muda mrefu lakini acha ni reply. Nimependa maneno yako ndugu yangu, Ni Bora uishi kwa kiburi ujue Hakuna wa kukusaidia, kuliko kuishi kwa kulialia ukajua utapata msaada halafu hola, Kiburi Muhimu maishani. Huyo jamaa anaishi maisha kama nnayoishi mimi,sina rafiki,sina ndugu...
  9. Joyce Gaitan

    Nina tatizo la pingili za uti wa mgongo kubanana. Naomba kujua tiba

    Hellow dear...Ndo ww uliyenipa zile namba eh?
  10. Joyce Gaitan

    Naomba kujua tiba mbadala ya mgongo

    Naomba namba zao dear
Back
Top Bottom