Recent content by jovie

  1. J

    Mke wa mtu anataka nizae nae

    kama umenogewahuko mkeo ana nafasi gani? au ndo amekuwa house girl wakukulelea watoto, jamani wanawake kuweni makini na mabwana kamahawa, hapo mumeo akigundua unafukuzwa na huyo mwanaume anabaki na mkewe ndo itakuwa imekula kwako wanao atalea mke mwingine.
  2. J

    Wamama na mabinti wa siku hizi mnatabia mbaya sana!!!

    jamani uchumba wote mpaka mwanaume unaamua kuoa hujajua kama dat women anakufaa? tulieni na wanawake wenu mjenge familia bora,
  3. J

    Wamama na mabinti wa siku hizi mnatabia mbaya sana!!!

    bora mwen zangu uulize maana wapo wasojua maana ya kupendana.
  4. J

    Aliyepangiwa MAIN CAMPUS wakati yeye anataka MABIBO

    usiwe na haraka utapata tu, ila hata mabibo siyo pabaya sana.
  5. J

    first year udsm mbadilike.....

    duh!!!!!! nadhani first year hawajajua changamoto za hapa chuo, humba tu wanauza bei wanasahau na wao mwakani wapo mzigoni kuomba kubebwa, ngoja watajionea wenyewe, pole ndugu yangu tafuta tu room nyingine utakaa kwa amani tele.
  6. J

    MSAADA wako wa mawazo tafadhali. Soma kwa makini kisha utoe maoni yako.

    mhhhhhhhhhhhhhhh :shocked::shocked: chukua hatua mapema.
  7. J

    Tabia 5 mbaya za wanawake wasiofaa kuolewa

    hahahahahahahaahahhhhh!!!!!!!!!! nangoja sifa za wanaume wasio faa kuoa
  8. J

    Nitajie sifa 5 za msichana kuwa mke

    bora na ww umesema maanahivyo vigezo havina uzito wowote
  9. J

    Msaada: Mke wangu mvivu kupindukia!

    duh!!!!! very sory,yani sina hata la kusema kwan kutokana na elimu yake naamini anajua changamoto zadunia ila amejitoa ufahamu tu,jaribu kumpa ukweli na mweleze anavyo kukera.
  10. J

    Simu gani nimnunulie mpenzi wangu wa kike?

    jamani mpe zawadi ambayo unaaamini ataikubali na je hana mtuu huyo? usije nunua cmu then mtu wake akaipa simu adhabu ya kifo (akaivunja vunja)
  11. J

    Poleni ndg zetu Wakenya, Watanzania tuamke sasa!

    duuuuuuuuuuuh!!!!!!!!! inaumiza sana coz damu inayo mwagika niya watu wasio na hatia, poleni ndug zetu na wapumzike kwa amani walio poteza maisha.
  12. J

    Nitajie sifa 5 za msichana kuwa mke

    naamini kila mwanaume ana vigezo na sifa anazotaka kwa mwanamke, kwangu mm naamini mwanamke ambayeana hofu na Mungu lazima atampenda na kumjali mumewe, swala la sura na maumbile ni majaliwa yake muumba........zaidi awe na upeo wa kufikiri kuhusu maisha, elimu na atambue wajibu wake.
Back
Top Bottom