kama umenogewahuko mkeo ana nafasi gani? au ndo amekuwa house girl wakukulelea watoto, jamani wanawake kuweni makini na mabwana kamahawa, hapo mumeo akigundua unafukuzwa na huyo mwanaume anabaki na mkewe ndo itakuwa imekula kwako wanao atalea mke mwingine.
duh!!!!!! nadhani first year hawajajua changamoto za hapa chuo, humba tu wanauza bei wanasahau na wao mwakani wapo mzigoni kuomba kubebwa, ngoja watajionea wenyewe, pole ndugu yangu tafuta tu room nyingine utakaa kwa amani tele.
duh!!!!! very sory,yani sina hata la kusema kwan kutokana na elimu yake naamini anajua changamoto zadunia ila amejitoa ufahamu tu,jaribu kumpa ukweli na mweleze anavyo kukera.
naamini kila mwanaume ana vigezo na sifa anazotaka kwa mwanamke, kwangu mm naamini mwanamke ambayeana hofu na Mungu lazima atampenda na kumjali mumewe, swala la sura na maumbile ni majaliwa yake muumba........zaidi awe na upeo wa kufikiri kuhusu maisha, elimu na atambue wajibu wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.