Tabia 5 mbaya za wanawake wasiofaa kuolewa

Tabia 5 mbaya za wanawake wasiofaa kuolewa

Kuanzia sentensi ya kwanza mpka mwisho sijaona kituo khaaaa.....Kweli umetiririka....Weka basi paragraph...

..tedo nawe unatafuta hata vituo, handsome 1 kavurugwa na totoo pale kitaa ko hapo alikuwa anatupayukia/ropokea..ngoja akipoa atatushauri vizuri.
 
Loh...ata Wanaume wenye tabia kama hizi zakuwa jaji wanawake nakuwaandika vibaya wanawake atuwafagilii ....wanakua nagubu kazi kuona yamwenziye yake ayaoni ...
 
Mkuu huyo sio mwanamke tena bali ni pepo accordingly hizo tabia, Nimewahi kuwa na mahusiano na mdada mwenye tabia hizo zote, kwakweli nilikonda sana had watu wakawa wanashangaa, sikuwahi kuwa na amani hata siku moja na nilitamani kumuacha lakin nilikuwa nashindwa kabisa sababu nilikuwa nampenda sana ila kwakwel ni mengi sana ya kusimulia juu ya yule mwanamke pepo lakin hatimaye namshukuru sana Mungu wa Israel kwa kuniepusha na balaa lile na leo niko huru.
 
Kusema kweli hata mie yamenikuta kwani nilioa kicheche fulani cha illala magorafani sasa aneelekea ktk uzee lakini bado malaya! cha ajabu ni mchaga tena wa kibosho tatizo kalelewa hapo hapo Ilala!:disapointed:
 
gals we see? so tujitahid kuepuka hzo tabia wanaume hawazipend.
 
lakin pia usilaumu sana play ur part as man unaeza mbadilisha hzo tabia coz binadam tumevuviwa mabadiliko
 
Wanawake wenye tabia hizi huwa hawakai na wanaume;kiburi/jeuri,kupenda ubosi yaani kuwa juu ya waume zao,wenye kuwalinganisha waume zao na wanaume wengine kisha kuwaona waume zao si lolote,wanaopenda mambo ya ubinti na kujiona bado wanalipa kumbe wamezeeka,wanaopenda kutembelea ndugu,jamaa na marafik mara kwa mara na kusahau kuwahudumia waume zao kwa mambo mbali mbali,wenye kuchagua aina ya chakula na maisha mengine ambayo waume zao hawayawez,wenye kupenda sugar daddies,wavivu,wanaopenda kuongelea mambo ya familia na ya watu wengine mara kwa mara,wasiotaka suruhu,wenye hasira na jaziba..

mie nilioa mdigo alikuwa na tabia zote hizo pamoja na uchawi.Namshukuru Mungu wa Israel kuninusuru akatimka zake!
 
tabia hizi ni;wanaojifanya wanajua kila kitu na wako perfect,wanaolalamika mara kawa mara kuwa wao wanatendewa vibaya au mambo flani hawayapendi,wakatishaji wa tamaa hata kawa mwenzi wake ana mipango mizur hawez kumtia moyo maana anataka yeye tu ndo awe mkuu ktk familia,pia huwa hawakili kuwa wapenz wao au waume zao kuwa wana akili au wazur,wavivu na wako tayar kugawa penz hata kwa mabosi pia wanawathamin wanaume wengine wenye maisha mazur hata kama sio waume au wapenz wao na wako tayar kutoka nao wknd au kujifanya kuna kaz za kiofis had wknd,pia wakal,wenye tabia za kuforce wapenz au waume zao,wenye jaziba na hasira,wenye ubabe na wasiokubal mume awe juu ktk masuala mbal mbal ya familia...mengine ongezen na nyinyi

hakuna cha mengine ongezeen nyinyi wala nini umeonge point ila less,kifupi hakuna logic katika sababu zako juu ya wanawake.
 
siwezi ku imagine ni jinsi gani mwandishi alikuwa anagombana na key board...hapo ni joto na hasira.
 
Hiyo decription ulotoa unajua umehsajulikana wewe na mkeo ni kina nani...be careful

Kusema kweli hata mie yamenikuta kwani nilioa kicheche fulani cha illala magorafani sasa aneelekea ktk uzee lakini bado malaya! cha ajabu ni mchaga tena wa kibosho tatizo kalelewa hapo hapo Ilala!:disapointed:
 
Janajike la aina hii bora ufuge kuku utakula mayai, ni balaa nusura ya mkosi!! These days wanawake design hii wapo wengi
 
Kusema kweli hata mie yamenikuta kwani nilioa kicheche fulani cha illala magorafani sasa aneelekea ktk uzee lakini bado malaya! cha ajabu ni mchaga tena wa kibosho tatizo kalelewa hapo hapo Ilala!:disapointed:

bado uko naeee au wote mmeamua kuufanya umalaya
 
Back
Top Bottom