Ilikuwa Chang'ombe miaka ya 70 tukiwa tunacheza na wenzangu machakani kwenye miembe,nageuka hivi nakutana na Mjomba tunaangaliana uso kwa uso,nilikuwa na miaka kama mitatu au minne tu hivi hivyo tulikuwa tumelingana naye urefu.
Alikuwa wa kijivu na tumboni mweupe maziwa,na hakuwa ametanua...
Kwa Wadau ,Wamiliki wa media zinazoandaa maudhui,main au on line.
Mimi ni Muandaa miswada( screen plays),ngazi ya cheti. Nabadili story kuwa screenplay,na fanya screenplay breakdown kwa ajili ya kurahisha uzalishaji (production),budget n.kNafanya maongezo(addition) kwa stori zenye maudhui...
MTUNZI:MSANII JOTO LA MOTO
SEHEMU YA KWANZA
MSITUNI-JIONI
Hali ya utulivu imetawala, huku sauti za Ndege na mivumo ya matawi ya miti inayopulizwa na upepo ikisikika, mara unasikika MNGURUMO WA PIKIPIKI INAYOKARIBIA.
Zinapita sekunde chache inafika PIKPIKI KUBWA NYEUSI na kusimama mita chache...
Kuna Mtu kanipatia orodha ya Madalali kama 14 hivi...naambiwa nichague mmoja, sasa nachagua kwa kigezo kipi ndio najiuliza.
Ni nini tofauti ya Dalali mmoja mpaka mwingine?. je wanatofautiana uwezo wa kutafuta Mnunuzi, kwamba usipochagua Dalali Mzuri kuuza inachukua muda mrefu?.
Kuna mambo kadhaa nahitaji kufahamu kutoka kwa Wajuzi wa hizi kazi.
Nimeonesha nia ya kutaka kuuza hisa nikapatiwa orodha ya Madalali, sasa nipo njiapanda nitumie kigezo gani kuchagua Dalali mmoja kutoka kwenye orodha.
Na je, kuuza au kununua hisa kwa wakati ina uhusiano na ni Dalali gani ume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.