Kama ni kweli police wanayo kazi. kwa vyovyote wakristu hawana hilka hiyo ya jino kwa jino ila kama ndivyo basi ni mara ya kwanza na wanafaa waadhibiwe mbaya kabisa kukomesha tabia hiyo. akupigae shavu la kulia mgeuzie na la kushoto
Jamani embu tuangalie maelezo tusiangalie alieyatoa ni nani maana watu wako tayari kufa kwa kuambiwa ukweli kuwa mbele kuna shimo lisilo na mwisho kwa kubishana na alotoa tangazo ikiwa tu ni padre au shekhe!
Naungana na alosema 4m4 ni tabu lakini baadhi! kwani hata mm darasa la saba sikumaliza...
Halafu hofu yangu mimi ni hao watendaji! wana utendaji kweli? kama unahitaji barua tu ya kupata aidha dhamana mahakamani au ufadhili wa mtoto yatima shuleni inakuwa na longo kibao, hapo siyo pande la kunyanyasa wananchi kwa kutoa kitu kidogo? haikuji kabsaaaaaaa
Siku ya kufa "mti nyani wote huteleza" ah! siku ya kufa nyani miti yote huteleza! na siku ya kufa dawa halisikii sikio. bwana me nimevugukiwa na hali hii ya ukimya ambayo najua kiama chake kikoje. eleweni hivyo hivyo! napita zanguuuu naenda kwa mjomba malulaaaaaa
Unapokuwa kazini lazima umaanishe kwa msimamo! baada ya kazi mapumziko ili upumzike hupaswi kurejea ya kazini! vinginevyo hujapumzika! twende kazi kamanda Lisu sakata rumba baba!
Bila ubishi mtoa mada ni ccm lakini yuko upande wa membe na adui wake mkubwa no. 1 Dr. wa ukweli no. 2 ni mamvi! ngoja niimbe kidogo.. polee samaki polee wanavyokufanya polee samaki poleee.... unaweza kuendelea kuimba
Deo, uko sahihi kuhama chama lakini ningekuona msomi na understand guy kama usingeponda ulikotoka. kawaida ukivaa chupi kubwa kwako, ivue na kuvaa saizi yako. usiiponde kwa kuwa tu haikukuenea hata kama uliipenda! pengine ukikuwa itakuenea na utaivaa!
M4C go... nawaamini makamanda wangu kwani hizo hila waliwafanyia kina mrema enzi zile, wakasambaratika kule Tanga. tena wakaleta hila za kidini kwa cuf wakafifia kwa kukosa namna ya kujinasua hadi cuf wakabaki kukubali hali hiyo ya kuwa ya udini. sasa hapa wamepiga ngoma ya sikinde kwa...
Sasa kama hilo mwanahalisi lililoleta hiyo bonge ya ukweli wa kina limefungiwa tutapata wapi habari kwa kuna jinsi hiyo? Asante mkuu. vita hivyo ni vigumu kumalizika kirahisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.