Kwahiyo hizo hela hazitoki mpka masharti yatimizwe sio.....haya popcorn [emoji897] please....Kweli mfa maji haishi kutapatapa....its not even a 2years mshaanza kurudi nyuma,ziko wapi zile kauli za kibabe....shikamoo wahenga aisee walisema usitukane mamba kabla hujavuka mto.
Utajiri upi unaouongelea mwenzetu??? Maana kama tumemezeshwa sisi ni nchi tajiri ila tuna shida kila siku....unazungumzia utajiri wa roho nini ndugu[emoji848]
[emoji15][emoji15][emoji848][emoji848] hili linanipa walakini...ni nini tumewaahidi hawa wahisani mpaka wamekubali kutufadhili baada ya sisi kujidai tunaweza bila wao....we are in deep shit i can tell.
Jamani alijiuzulu uwaziri mkuu na alibaki kuwa mbunge....kwahiyo hayo malipo alistahili kwa kuwa alikuwa akikatwa hela za pension...na anastahili benefits nyingne kama mbunge....[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata waziri wa mambo ya ndani alisema aliyemnyooshea silaha ya moto aliyekuwa waziri wa habari ameshapatikana na anashikiliwa na jeshi la polisi ila haikuwa hivyo.....Trush shall set you free....SMH, ujangili dhidi ya askari wetu inabidi ukomeshwe...rambirambi zangu kwa familia za askari...
Wali zuri,ina maana waisraeli hawakufanana na wajerumani kabisa na ikawa rahisi kuwapoint kwenye community....this has led me to believe hawakuwa weupe...[emoji848][emoji848][emoji848]
Mchangiaji hapo juu umeongea mawazo yangu....it makes me wonder....uongozi hautakiwi kukosolewa[emoji848][emoji848]??? Sio kwenye nchi ya kidemocrasia .jamani hizi sio zama za wafalme.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.