Habari,
Naendesha utafiti unaohusisha utafutaji wa taarifa mtandaoni kwa lugha zaidi ya moja (multilingual Web searching) ambapo utatumia search engine (ya majaribio) inayosupport lugha MBILI i.e. unapata majibu kwa lugha mbili; English na Kiswahili.
Kushiriki ni rahisi sana; ukifungua link...
Mimi nakubaliana na takwimu za mkemia mkuu kwa sababu wanaoenda kupima karibu wote huwa wanawasiwasi. Wengi ambao hawana wasiwasi na watoto wao hawana time na kupima. Mara nyingi watoto kama si wako utahisi tu na hisia hizo mara nyingi huwa ni kweli. So mkemia anaprove tu kuwa hizo hisia ni kweli.
Licha ya kumtukana sana Zitto, bado Bavicha anawaendesha tu huyu "msaliti"!!! Bila kumsahau dada yenu wa kufikia Kimange... Siku hao wawili wakiishiwa hoja, bavicha itakuwa ahera!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.