Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Taharuki gani?Muwe mnawapigia simu ndugu zenu wanaobaki majumbani wawe wanawatumia picha walau kila msimu wa majira husika katika mwaka, kuepusha taharuki hizi.
Taharuki gani?Muwe mnawapigia simu ndugu zenu wanaobaki majumbani wawe wanawatumia picha walau kila msimu wa majira husika katika mwaka, kuepusha taharuki hizi.
Kuutangaiza umma kuwa mlima Meru pameoneka theluji, wakati huwa inatokea kwa wakazi tulio jirani na mazingira husika kuona hivyo wakati flani.Taharuki gani?
Saruji ni cement brother... Theruji ni snowNo ni saruji
Theluji ndio snowSaruji ni cement brother... Theruji ni snow
sasa unachokataa ni nini hapoHapana h Hiyo ni lava
Naunga mkono jitihadaTheluji ndio snow
2012-2013 pia ilitokea. ukiwa unatokea mjini to usa riva kama sikosei upande huo ndipo ilionekana japo sio kwa wingi namna hiyoSidhani kama ni miaka 'Mingi sana', nakumbuka kila msimu wa baridi kali Arusha mlima Meru asubuhi ilikua ni lazima Uone kilemba cha barafu hapo juu, mimi binafsi mara ya mwisho kushuhudia hali hiyo ilikua ni 2009
Hahahaha, we mkorofiTeh matunda ya ccm mpya
Sasa elfu mbili na Tisa na sasa ni karbu?Sidhani kama ni miaka 'Mingi sana', nakumbuka kila msimu wa baridi kali Arusha mlima Meru asubuhi ilikua ni lazima Uone kilemba cha barafu hapo juu, mimi binafsi mara ya mwisho kushuhudia hali hiyo ilikua ni 2009
Hili ni tukio kubwa lakini sioni likipewa attention na media, ni baada ya miaka mingi Sana kupita mlima Meru mkoani Arusha umeonekana kuwa na theluji nyingi kama Ile ya mlima kilimanjaro kwa kipindi cha siku mbili kuanzia jana 2nd January 2018 hata leo 3rd January bad theluji inaonekana tena kwa wingi zaidi.
Mlima Meru ni Mlima wa pili kwa urefu Tanzania na watano barani Africa
View attachment 667510View attachment 667511View attachment 667512
Mlima kilimanjaro nao umeonekana na kuongozeka kwa theluji mara dufu View attachment 667515
Kigwangala amedhibiti......
Hiyo ni mara ya mwisho mimi kuwa Arusha na kushuhudia hali hiyo. Natumaini hali hiyo iliendeleaSasa elfu mbili na Tisa na sasa ni karbu?