Recent content by josephine001

  1. J

    Mbowe rudisha hela zetu

    mnakumbuka shuka wakati kumekucha, fedha ameshahamisha nje ya nchi, bakini na mkono shavuni, mfanyabiashara anajali maslahi yake binafsi kuliko maslahi ya watu wengine. poleni sana Upawa
  2. J

    Kiongozi mkubwa BAVICHA kujiunga na UVCCM kesho

    hapana sio bure kuna namna mbona kila kiongozi wa chadema ambaye anakijua chama vizuri anaondoka katika chama hicho, tunapaswa kutafakari kuna kitu kilichojificha nyuma ya pazia. chadem hivi sasa imekua ni chama cha mapinduzi, kila anaetoka chama cha mapinduzi ambae amekosa madaraka anahamia...
  3. J

    Tuacheni udhalilishaji, imetosha sasa

    Kiukweli hizi siasa zinapokwenda si mahala salama, kwanini tunadhalilishana kiasi cha kutoa video ambayo mwanamke mwenzangu anafanyiwa kitu kama hicho,hii sio sawa kama ungekua wewe au ni mzazi wako ungeiweka? tuache hizo mambo. alie record hiyo video achukuliwe sheria
  4. J

    Hili la "kulinda kura" sawa ila watangulie hawa

    haya sasa wakati wewe unalazimishwa ukalinde kura, mwenye mtoto anae sema hivyo mwanae analinda bia
  5. J

    Mbowe: Cultist, Manipulator, Cruel, Untouchable chairman of CHADEMA for Life; Dictator in the making

    kweli biashara imepata mfanya biashara mpaka chama ameuza
  6. J

    GE2015 Nape: Mbowe aiuza rasmi CHADEMA kwa Lowassa

    Ikulu sio pango la walanguzi
  7. J

    Mbowe rudisha hela zetu

    mfanyabiashara hawezi kurudisha hela hizo, ameshakula.
  8. J

    Nani aliwashauri UKAWA kujiweka mbali na Nyerere?

    Fedha sabuni ya roho leo hii fisadi anasafishwa. wamepoteza dira
  9. J

    China isingemchelewesha Lowassa

    Kweli hiki ni kituko cha mwaka mtu mwenye kashfa anagombania urais, Tanzania tunapaswa kubadilika kuondokana na ujinga huu kiukweli tumepotea, nina uhakika hata majirani zetu watakua wanatucheka kumshabikia mtu ambae ameshiriki katika matukio mengi ya wizi, uporaji wa mali z umma.
  10. J

    Lowassa na UKAWA wamesahau kuwa SIASA NI SAYANSI

    ukweli unakera sana, ila hakuna namna inabidi tuh tuupokee, wenzetu wamejipanga vizuri.
  11. J

    CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi

    wameshapotea hao kwenye ulimwengu wa siasa
  12. J

    Yaliyojiri Tanga: Mkutano wa Mgombea wa CHADEMA, E. Lowassa - Septemba 28, 2015

    kweli haya maigizo ni tatizo kubwa, hao ndio watu zaidi ya mia waliozimia mpaka mkutano uhairishwe? nawapongeza sana viongozi wa CDM kwa kukwepa fedheha iliyokua iwakumbe kama mwendelezo wa kilichomtokea EDO bumbuli hali ilipoanza kuwa mbaya, ni mkutano wa ngapi huu una hairishwa jamani? tuwe...
Back
Top Bottom