CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi

CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi

Mimi sipo mashakani ninaelewa ninachokihitaji,ninajithamini,nipo huru.HIvyo huna haja ya kunipa pole.

Ok, ila hata mimi ninajua ninachokitaka. Sema wewe hujui ninachokitaka mimi, ndio maana, hatumalizi mjadala huu
 
Umenijibu vyema.Tafakari jibu lako pia.

Ahsante, sasa kama umeshajua kiongozi wa namna hiyo hayupo, basi fanaya hima uingie kwenye siasa, ili uwe kiongozi ambaye ulikuwa unamtarajia, ili watu kama wewe wapate kiongozi uliyekuwa unamtaka wewe.
 
Ok, ila hata mimi ninajua ninachokitaka. Sema wewe hujui ninachokitaka mimi, ndio maana, hatumalizi mjadala huu

Ninajua unachokitaka,tatizo unadhani wote lazima tuamini unavyoamini.Siamini unachoamini,na hautakaa uniconvince kuamini unachoamini,na ninajua siwezi kukulazimisha ufanye ninachoamini,ila naweza kukushauri moja tu,Tanzania ni yetu sote,hatuhitaji UBAGUZI wa KIKANDA,KIITIKADI,wala KIDIDINI.

Tukemee pamoja MATUSI,KEBEHI,KUDHALILISHANA,na KUBAGUANA kwa misingi ya UKANDA.Na kila MTANZANIA apewe nafasi ,UHURU,na HAKI ya kuchagua aaminicho
 
Ahsante, sasa kama umeshajua kiongozi wa namna hiyo hayupo, basi fanaya hima uingie kwenye siasa, ili uwe kiongozi ambaye ulikuwa unamtarajia, ili watu kama wewe wapate kiongozi uliyekuwa unamtaka wewe.

Mimi so far ni kiongozi ambaye ninaongoza kwa mawazo na matendo.Si lazima nigombee ndiyo niwe kiongozi.Hata yale ninayowafanyia vijana leo kwa nafasi yangu bado nauwezo wa kujiita kiongozi.

Hata wewe waweza kuwa kiongozi kwa nafasi yako.
 
Ninajua unachokitaka,tatizo unadhani wote lazima tuamini unavyoamini.Siamini unachoamini,na hautakaa uniconvince kuamini unachoamini,na ninajua siwezi kukulazimisha ufanye ninachoamini,ila naweza kukushauri moja tu,Tanzania ni yetu sote,hatuhitaji UBAGUZI wa KIKANDA,KIITIKADI,wala KIDIDINI.

Tukemee pamoja MATUSI,KEBEHI,KUDHALILISHANA,na KUBAGUANA kwa misingi ya UKANDA.Na kila MTANZANIA apewe nafasi ,UHURU,na HAKI ya kuchagua aaminicho

Mimi sina haja ya kukubadilisha imani yako, maana najua hata wewe huwezi kunibadilisha imani yangu japo unatamani kufanya hivyo, wewe baki na msimamo wako nami pia nitafanya hivyo, mijadala haiishi. Ila ninachoamini Mbowe ameiuza CDM kwa ENL. Hata kwa barter trade si lazima zitolewe pesa
 
Mimi so far ni kiongozi ambaye ninaongoza kwa mawazo na matendo.Si lazima nigombee ndiyo niwe kiongozi.Hata yale ninayowafanyia vijana leo kwa nafasi yangu bado nauwezo wa kujiita kiongozi.

Hata wewe waweza kuwa kiongozi kwa nafasi yako.

Upo sawa tatizo si kwamba sielewi uongozi, nauelewa vizuri maana nimebahatika kuwa kiongozi, na bado ni kiongozi
 
Mimi sina haja ya kukubadilisha imani yako, maana najua hata wewe huwezi kunibadilisha imani yangu japo unatamani kufanya hivyo, wewe baki na msimamo wako nami pia nitafanya hivyo, mijadala haiishi. Ila ninachoamini Mbowe ameiuza CDM kwa ENL. Hata kwa barter trade si lazima zitolewe pesa

Kama unafacts na evidence unipatie na mimi nizione,ila kwa sababu ya TUHUMA za migahawani utanisamehe.

Wa kulaumiwa kwanza kabisa ni Dr.Slaa,aliyekuwa kuwadi wa Lowassa,huyu Mbowe mnamuonea tu.

Hivyo lakuuzwa siwezi kuliafiki unless unaniletea evidence to prove your allegations against Mbowe,vingine tunanyamaze tuendelee na maisha.
 
hii ni kweli kabisa, Mbowe kashikilia ukanda na sasa kuna kanda ya wapare wakina Halima Mdee na Mfinanga kule kunduchi, watachekea chooni mwaka huu tunawasubiri kwa hamu kubwa
 
Kama unafacts na evidence unipatie na mimi nizione,ila kwa sababu ya TUHUMA za migahawani utanisamehe.

Wa kulaumiwa kwanza kabisa ni Dr.Slaa,aliyekuwa kuwadi wa Lowassa,huyu Mbowe mnamuonea tu.

Hivyo lakuuzwa siwezi kuliafiki unless unaniletea evidence to prove your allegations against Mbowe,vingine tunanyamaze tuendelee na maisha.

Basi kama ni hivyo na wewe usitake kuniaminisha mkwamba Slaa ni kuwadi, bila evidence, unless na hao akina Mbowe wote ni makuwadi
 
All ccm leaders and members are useless and hopeless..their argments are always illogical
hayo maneno unatakiwa ukawaambie viongozi wako akiwemo Msigwa ambae alisema Mtanzania yoyote atakae mshabikia Lowaa akapimwe akili, cha ajabu leo hii anampigia debe, sasa hapo nani ni useless na hopeless kama si wewe na viongozi wako.
 
Kumbe unajua,Hongera.

Kwa hiyo mimi nanarudi kwenye msimamio ule ule, hakuna msafi ila tupime usafi wa mtuu, Aliyechafuta na taka za chakula, hawezi kuwa sawa na aliyechafuka na kinyesi
 
Kama unafacts na evidence unipatie na mimi nizione,ila kwa sababu ya TUHUMA za migahawani utanisamehe.

Wa kulaumiwa kwanza kabisa ni Dr.Slaa,aliyekuwa kuwadi wa Lowassa,huyu Mbowe mnamuonea tu.

Hivyo lakuuzwa siwezi kuliafiki unless unaniletea evidence to prove your allegations against Mbowe,vingine tunanyamaze tuendelee na maisha.

Hizi ni siasa, kwa hiyo wewe kama mwananchi yakupasa ukae pembeni kabisa, usiumize kichwa nazo. Utaongea sana lakini mwisho hutapata jibu, nakuambia, utaleta hoja makontena hata 100, lakini utaula wa chuya, hakuna wa maana hata mmoja, ila tu wapo baadhi ambao wana afadhali
 
Basi kama ni hivyo na wewe usitake kuniaminisha mkwamba Slaa ni kuwadi, bila evidence, unless na hao akina Mbowe wote ni makuwadi

Dr.Slaa alilisema mwenyewe,alienda kwa mshenga,baada ya kubaliana na mshenga wakamtafuta Mbowe.SIyo mimi nenda kamsikilize Dr.Slaa,kwa ulimi wake mwenyewe.
 
Back
Top Bottom