Recent content by Josephat Mgimwa

  1. Josephat Mgimwa

    For U movement na Friends of Lowasa, wako wapi?

    For U movement walikuwa wanatafuta chochote cha kutia tumboni.. Maslahi ya kisiasa
  2. Josephat Mgimwa

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    Hatuwezi kuendelea kuramba makalio yao ili tupate misaada
  3. Josephat Mgimwa

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    Hiki ni kipindi cha wanafiki wote kukata kamba zao. Lazima kamba ya MCC ikatike kwakuwa vibaraka wake pia walishindwa uchaguzi. Mwanamke mwenye msimamo hawezi kukubali ati aingiliwe kinyume kisa noti anazohongwa. Ila Madada poa wataisikitikia hongo ambayo yule bwana kasema hatatoa tena kwakuwa...
  4. Josephat Mgimwa

    Huwezi amini: Siasa ndio kazi rahisi duniani

    Kuwa mwanasiasa kunahitaji maandalizi. Wanaopata kwa bahati ni wachache,
  5. Josephat Mgimwa

    TRA Bukoba na wengine huu nao ufisadi

    Kama umewahi kufika katika mji wa BUKOBA Manispaa utakuwa shahidi kuwa hakuna daladala ambazo zinafanya safari za ndani ya mji na badala yake utaina no Pikipiki tu alimaarufu "sekido" na madereva wakiitwa "asekido" Nauli zetuni 500 tsh tu kwa routes za karibu na mbali kidogo ni 1000 na...
  6. Josephat Mgimwa

    Chuchu kuwasha

    1.Angalia maji unayotumia kuoga yaweza kuwa machafu, na si chuchu tu kama tatzo likiendelea utawashwa pia sehemu za siri. 2. Chunguza wakati wa ku~sex na jamaa je .chuchu hutumika? Kwa mfano kama mume hulamba chuchu je mdomo wake unapgwa mswaki? Au huwa mmetoka kula? 3. Je? Chuchu...
  7. Josephat Mgimwa

    Huyu Membe ana taka Urais kweli au ana furahisha baraza?

    Tafsiri nyingine ni kwamba hana msimamo
  8. Josephat Mgimwa

    Kwa bajeti iliyopitishwa naombeni ongezeko la mishahara ya walimu

    Tatizo watu hatuna majibu ila tunashabikia.. hakuna aliyejibu swali. mimi sijui ila ningependa mtu mwenye figure atupatie.. siyo tunaamza kuropoka mambo ya Alshabab siyo akili ya mwalimu hiyo.
  9. Josephat Mgimwa

    Namtafuta Kaka

    Hii si kawaida! Ukaka usijeleta mengine
  10. Josephat Mgimwa

    Zitto Kabwe: Serikali inachekesha sana!

    Kila anayemzomea Zitto anaguswa na pengo la zitto kutoka katika chama. Zitto ni kijana mwenye siasa za kuaminika. Kama unahofia chama chako kufa mzomee zitto ili usisikie ukweli. Ukomavu ni kusikiliza hata kile usichopenda na kuvumilia. Na uwezo ni kujenga hoja bora zaidi kuliko za unaeona hafai...
  11. Josephat Mgimwa

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Wakuu vipi kuhusu buhingwe district kigoma?
  12. Josephat Mgimwa

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Chukua tahadhari kuna matapeli humu balaa..
  13. Josephat Mgimwa

    Ajira mpya za walimu, pesa za kujikimu

    Bwana Mahug! Utaratibu upo hivi.... kwa manispaa na majiji ni 65,000= kwa siku x7. hiyo ni kwa bachelor. wilaya zilizopo vijijini ni 45,000 kwa siku x7. Usipange kuchakachuliwa ni haki yako.
  14. Josephat Mgimwa

    Matokeo ya form two walomaliza mwaka jana mwezi December

    Mtoto aende shule matokeo yatamkuta ni utaratibu wa miaka yote. akifaulu au akifeli anaendelea kusoma . hivyo apelekwe shule
  15. Josephat Mgimwa

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hamia bukoba mjini nije mbeya, morogoro na dodoma .. kama upo tayari pm
Back
Top Bottom