Zitto Kabwe: Serikali inachekesha sana!

Zitto Kabwe: Serikali inachekesha sana!

Ukisema cha nini..............ntwara kucheleeee
 

Attachments

  • 1435261944756.jpg
    1435261944756.jpg
    35.3 KB · Views: 354
  • 1435261990971.jpg
    1435261990971.jpg
    37.3 KB · Views: 329
  • 1435262030233.jpg
    1435262030233.jpg
    24.9 KB · Views: 314
  • 1435262063147.jpg
    1435262063147.jpg
    20.8 KB · Views: 290
  • 1435262100695.jpg
    1435262100695.jpg
    39.5 KB · Views: 276
  • 1435262133768.jpg
    1435262133768.jpg
    36.7 KB · Views: 283
Umenifurahisha sana hapa, watu wanaumia moyoni tu

BAdo wapo kwenye hizi stage, wakivuka hizo utawaona tu hapa.

“First they ignore you, then they ridicule you, then they fight you, and then you win.”

Mahatma Gandhi



Wamevuka stage ya kwanza ya kum-ignore, ndio maana wanamfuatilia kila anapopita.

Saizi wapo kwenye stage ya pili,kumkashifu na kumzomea,

Kisha Zitto atafight back kwa kuendelea kusimama na hoja zenye nguvu,kushinda ubunge, kuendelea kuwa kinara wa hoja zenye maslahi ya taifa, kupambana sana na serikali bungeni.

Baada ya hapo hawa hawa, watasalimu amri na kukukubali kuwa alionewa, watampa ushindi.

Umesema ukweli mtupu mkuu.
 
Unaweza linganisha na kumpa mzalendo nafasi yake .kiukweli ana kazi ya ziada huyu bwana,hii ni mtwara!!




th
th






tusilinganishe kifo na usingizi wajemeni chama ni chama na mtu ni mtu!
 
Tundu lisu hana uwezo wa kuongelea mambo ya kitaalam kama hayo! Tundu Lisu ni mropokwaji tu. Kwa hiyo utasubiri sana.

Lissu mropokaji wakati ndo anaefafanua vifungu vya sheria bungeni?...
Yeye ndo anaweka sawa miswada kanjanja yote ya serikali dhaifu?...
Mwanasheria wenu alishindwa hata kuweka sawa vifungu vya sheria akasubiri tamko la mwisho la lissu...
Acha kukurupuka...
 
Unaweza linganisha na kumpa mzalendo nafasi yake .kiukweli ana kazi ya ziada huyu bwana,hii ni mtwara!!




th
th






tusilinganishe kifo na usingizi wajemeni chama ni chama na mtu ni mtu!

Tatizo lenu mnadhani mtwara ni sehemu moja ,ukifanyia mkutano manispaa na vijjijni ni tofauti sana maana idadi ya watu ,ukilinganisha hivyo hakikisha mnafananisha na uwanja ,wa mkutano Kama walivyo kuwa mwanza furahisha ,na mnyika
 
Acha kuweweseka we mfuasi kipofu unafkiri lissu anajua sera hayo ni mambo ya sera na mtaalam wa sera za kiuchumi unamjua ni kabwe na lipumba tu

Dah vibaraka mna kazi sana ya kumtetea kiongozi wenu wa vibaraka Tz!
 
Kila anayemzomea Zitto anaguswa na pengo la zitto kutoka katika chama. Zitto ni kijana mwenye siasa za kuaminika. Kama unahofia chama chako kufa mzomee zitto ili usisikie ukweli. Ukomavu ni kusikiliza hata kile usichopenda na kuvumilia. Na uwezo ni kujenga hoja bora zaidi kuliko za unaeona hafai then usahihi waachie wanaokupima wewe na yule.
 
Mimi nadhani ni vema Zito akaelewa kuwa uwezekano wa kurudia enzi zake za umaarufu wa kisiasa kamwe haziwezikurudi.asifikiri Mrema alipenda kuisha hivi ni kwamba jamii huangalia kwa makini mwenendo wa mwanasiasa tapeli.Nasikitika kukuambia nawe uko njia hiyo hiyo ya Mrema

Historia ya mrema imejirudia kwa ZZK, Je atakwepa..?,
 
Serikali ya CCM inaendesha nchi hii kidikteta.....kwa kuwa Katika nchi ya kidemokrasia serikali haiwezi kufanya jambo bila kushauriana na wananchi kwa kuwa uwepo wake ni kwa ajili ya wananchi....
 
Lissu mropokaji wakati ndo anaefafanua
vifungu vya sheria bungeni?...

Yeye ndo anaweka sawa miswada
kanjanja yote ya serikali dhaifu?...

Mwanasheria wenu alishindwa hata
kuweka sawa vifungu vya sheria akasubiri tamko la mwisho la lissu...


Acha kukurupuka...
 
Kila anayemzomea Zitto anaguswa na pengo la zitto kutoka katika chama. Zitto ni kijana mwenye siasa za kuaminika. Kama unahofia chama chako kufa mzomee zitto ili usisikie ukweli. Ukomavu ni kusikiliza hata kile usichopenda na kuvumilia. Na uwezo ni kujenga hoja bora zaidi kuliko za unaeona hafai then usahihi waachie wanaokupima wewe na yule.

Dhahabu maneno yako.
 
Umenifurahisha sana hapa, watu wanaumia moyoni tu

BAdo wapo kwenye hizi stage, wakivuka hizo utawaona tu hapa.

“First they ignore you, then they ridicule you, then they fight you, and then you win.”

Mahatma Gandhi



Wamevuka stage ya kwanza ya kum-ignore, ndio maana wanamfuatilia kila anapopita.

Saizi wapo kwenye stage ya pili,kumkashifu na kumzomea,

Kisha Zitto atafight back kwa kuendelea kusimama na hoja zenye nguvu,kushinda ubunge, kuendelea kuwa kinara wa hoja zenye maslahi ya taifa, kupambana sana na serikali bungeni.

Baada ya hapo hawa hawa, watasalimu amri na kukukubali kuwa alionewa, watampa ushindi.

surely
 
Back
Top Bottom