Recent content by JOSEMOURINHO

  1. J

    Je, wajua? - Special Thread

    Na kwa taarifa yako duniani kuna kuku wengi zaidi ya binadamu.
  2. J

    Watangazaji wa Sports Extra ni wababaishaji

    Watangazaji wote au?
  3. J

    Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

    Ni moja ya mazoezi yao, iliwahi kufanyika hapa Songea hata mwezi haujaisha. Usiku watapiga makombora/mabomu ambayo hayana madhara kwa wananchi.
  4. J

    Uwezekano wa kuhama Mfuko wa Hifadhi ya Jamii

    Unaweza kuhama kwa masharti fulani, baadhi ya mifuko kama umezidi miaka 45 hawakuruhusu kuhama.
  5. J

    Nimevurugwa sina hamu na mwanamke

    Alisafiri kwenda wapi
Back
Top Bottom