Recent content by Joselela

  1. Joselela

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Ford ranger inauzwa - T/CQW

    Exchange na Subaru Forester, niongezee hela kidogo. Inbox kama inawezekana.
  2. Joselela

    JamiiForums Tanzania hadi maandishi kwenye duka/frem now unayalipia???

    Hii ishu ni kubwa sana, nimeona mwana ccm mmoja hapo juu anasema weka speaker, sijui omba tenda za serikali. How's it possible kwa nchi ambayo mamlaka na taasisi za serikali hazina maamuzi, maamuzi yote yanatolewa na mtu mmoja mwenye interest. Ok lets huko kwenye tender za serikali kule ni...
  3. Joselela

    JamiiForums Tanzania List ya Expensive Perfumes na clones zake kwa wenye vipato vya chini

    Paco Rabanne invistuc eau de toilette for him. Unyama huo hapo harufu yake imepoa sio kali sana na uhakika inakufanya uwe na confidence kila wakati.
  4. Joselela

    JamiiForums Tanzania Mahusiano Mapya ya Mara kwa Mara ni Umalaya au Safari ya Kumtafuta Mtu Sahihi?"

    Kaa vizuri na intentions zako ujue kwanini umemchagua huyu na sio yule.
  5. Joselela

    JamiiForums Tanzania Mahusiano Mapya ya Mara kwa Mara ni Umalaya au Safari ya Kumtafuta Mtu Sahihi?"

    Ni kuto kujua nini unataka
  6. Joselela

    JamiiForums Tanzania Nini kinachofichwa kwenye graphic card na kwa nini mifumo yote ipo hapo

    GPU excel at parallel arithmetic doing millions or billions of mathematical operations at the same time. Hence hizo zote ume mention hapo ni STEM. That's why wenzetu wana invest sana kwenye GPU (high speed parallel math processor)
  7. Joselela

    JamiiForums Tanzania Chimbo la Unyunyu, Utuli, Manukato na Uvumba. Nimechoka kutakwa na Mademu nawashauri nanyi ....

    Ukimwi unasakwa kwa harufu kali. Pongezi in advance kwa kumaliza kikombe cha uji.
  8. Joselela

    JamiiForums Tanzania Maono: Baada ya hayo yote, akiondoka ataichoma nchi

    Sio kumiliki, wamiliki wapo wengi, ila yeye anapata na nguvu tena bila soni/aibu anatoka hadharani kutambulisha. Na hajawahi kuitwa mahala popote kutoa maelezo.
  9. Joselela

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na Demu wa Kiarabu Toronto. Amenifundisha jambo la ajabu sana

    Ila wakulima wa nyanya bhana 😅
  10. Joselela

    JamiiForums Tanzania Ikonda Hospital vs Hospital ya Rufaa (Zonal) Mbeya

    Huduma mbovu hakuna kingine
  11. Joselela

    JamiiForums Tanzania Huu sasa ni wakati wa Baraza la Mitihani(NECTA)kuanzisha huduma za online za upatikanaji wa vyeti.

    Nope, si kuna kuwa na namba ya verification kwenye cheti. Kwahiyo along mfumo wa kupata cheti kuna kuwa na verification page pia. Kwahiyo mwajiri atathibitisha online kama cheti ni halali au la... Kinachotakiwa mfumo ujengwe vizuri na usalama wa kutosha atleast wale pen testers au hackers...
  12. Joselela

    JamiiForums Tanzania Kibarua kigumu Sana Kwa Askari na Maafisa wa vyombo vya Ulinzi na salama

    Tatizo hawataki tukae pamoja. Mtu anaamka kutoka kwake anaenda kutoa maamuzi ambayo katika muda mfupi ujao yatakwenda kuangamiza taifa hasa katika uchumi na mshikamano. Kama mnavyowajua askari wetu hapo washapewa chanzo cha mapato. Ni rushwa na kubambikizia watu makosa kwa kwenda mbele.
  13. Joselela

    JamiiForums Tanzania UKIMWI Upo: Siamini na mimi umenipata

    Si ulikuwa unaona sifa kuichapa, sasa subiri tukupe hongera ya kumaliza kijiko kikoja cha uji.
Back
Top Bottom