Hii ishu ni kubwa sana, nimeona mwana ccm mmoja hapo juu anasema weka speaker, sijui omba tenda za serikali. How's it possible kwa nchi ambayo mamlaka na taasisi za serikali hazina maamuzi, maamuzi yote yanatolewa na mtu mmoja mwenye interest.
Ok lets huko kwenye tender za serikali kule ni...
GPU excel at parallel arithmetic doing millions or billions of mathematical operations at the same time.
Hence hizo zote ume mention hapo ni STEM. That's why wenzetu wana invest sana kwenye GPU (high speed parallel math processor)
Sio kumiliki, wamiliki wapo wengi, ila yeye anapata na nguvu tena bila soni/aibu anatoka hadharani kutambulisha. Na hajawahi kuitwa mahala popote kutoa maelezo.
Nope, si kuna kuwa na namba ya verification kwenye cheti. Kwahiyo along mfumo wa kupata cheti kuna kuwa na verification page pia. Kwahiyo mwajiri atathibitisha online kama cheti ni halali au la...
Kinachotakiwa mfumo ujengwe vizuri na usalama wa kutosha atleast wale pen testers au hackers...
Tatizo hawataki tukae pamoja. Mtu anaamka kutoka kwake anaenda kutoa maamuzi ambayo katika muda mfupi ujao yatakwenda kuangamiza taifa hasa katika uchumi na mshikamano. Kama mnavyowajua askari wetu hapo washapewa chanzo cha mapato. Ni rushwa na kubambikizia watu makosa kwa kwenda mbele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.