Hii ishu ni kubwa sana, nimeona mwana ccm mmoja hapo juu anasema weka speaker, sijui omba tenda za serikali. How's it possible kwa nchi ambayo mamlaka na taasisi za serikali hazina maamuzi, maamuzi yote yanatolewa na mtu mmoja mwenye interest.
Ok lets huko kwenye tender za serikali kule ni...
GPU excel at parallel arithmetic doing millions or billions of mathematical operations at the same time.
Hence hizo zote ume mention hapo ni STEM. That's why wenzetu wana invest sana kwenye GPU (high speed parallel math processor)
Sio kumiliki, wamiliki wapo wengi, ila yeye anapata na nguvu tena bila soni/aibu anatoka hadharani kutambulisha. Na hajawahi kuitwa mahala popote kutoa maelezo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.