Jitambue kwanza ndio uwe unaleta mada zako humu. Wewe hiyo inakuhusu nini? Wao kwa reasoning yao wameona sawa sasa wewe kutoka mchambawima unakuja unataka kuwapangia watu. Deal na issues za national levels sio za kujadili mambo personal.
Mbona kama una wivu nao? Na wewe kama unataka tafuta bwana si ma boss zako UVCCM nao wamo. Hizo ni personal interests sio za kujadili wala kutuzitumia katika mambo ya kitaifa. UVCCM na MACHAWA hamnaga akili hence mnakosa hoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.