Kiuhalisia Hili dude ni gumu,mi nalitumia kwa shughuli za shamba kuanzia 2018 Hadi Leo linadai,vifaa vyake ni kweli ni ghali ila huwezi badilisha mara nyingi kama mchina
Ni risk,Fanya back up za kutosha,Zina life span yake ambayo ni 3-5 years kulingana na matumizi Yako pia nafikiri,maana mi kuna moja inapiga kazi hapa ni ya 2015 .ila ni vizuri kuchukua tahadhari.
Kuna siku nilikuwa mtungi Niko na speed ya kilevi,nilipiga tuta nikatoka kwenye pikipiki nikaenda kuchimbia kichwa Kando ya barabara na Cha kushukuru barabara ilikuwa na kingo za mchanga maana mi barabara za vumbi,nilikuja kushtuka Kama baada ya masaa matatu Niko nimezungukwa na Wana kituo Cha...
Nilikuwa na jamaa yangu mmoja Moshi enzi hizo hakuna m-pesa,unatumiwa vocha, za elfu 10 ukirusha unapewa elfu 8, Sasa yule jamaa kwenye kurusha akakosea akarusha 1000 badala ya elfu 10,yule mama alivyosikia sauti ya sms kwenye simu yake akatupa elfu 8,baadae tunashituka kumbe alituma elfu moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.