Maelezo yako yanalingana na akili na uwezo wa shule yako. Sijui hata waliokupa 'like' wana akili kiwango gani?!
Wewe ingependeza maneno ya JK yaanzie kwako
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Yes. Wabongo huwa nawashangaa kweli kweli. Wamekomaa kumshambulia Kapuya wakati wanatetea mbakaji halisi. Labda kwa kuwa watoto wao hawakubakwa!
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Kulingana na information za ki-intelligensia, huyo bwana ni mmoja wa watu hatari sana Duniani. Askali wa Tanzania waliokuwa kule Msumbuji wanaeleze jinsi walivyokuwa wakiuwawa kila kukicha. Ikafikia sehemu ilibidi sasa wache kuwasiliana na wanajeshi wa Mozambique waende kivyao vyao. Hapo ndipo...
Kama kweli ni MPALESTINA, atakuwa yeye ndiyo muuaji. Story yake haina mashiko kabisa. Kama yeye ni mme wake mpendwa alafu anasema mme alimwambia ameamua kujiua yeye na mtoto, kwanini asipige simu kokote, hata kwa marafiki kuwastua of impending calamity kwa ajili ya ushauri nasaha?! Behind every...
Hii ndiyo shida ya bei rahisi. Hata wale ambao walikuwa hawategemei kupanda ndege sasa wamepanda. Ni nzuri sana. Ila tatizo linakuja ni kwenye ushamba. Kana huyu mlalamikaji. Yeye anafikiri ndege ni kama basi, linatembea tu hata kama kuna hitilafu! Tulia, soma mazingira na utazoea tu
We unajiona uko sawa?! Angalia jinsi watu wanavyoropoka ropoka humu JF na nadharia zao plus magazeti,na hapo hujaenda kwa viongozi, wawe serikalini au upinzani. Wote kwisha tunasubiri ama mganga afufuke au bingwa mwingine atutoe.
Kwa mara ingine tena bara bara zetu zimeendelea kuwa kimeo na janga la Taifa.
Mhadhiri kijana: SUMA MWAITULO wa Crop Science and Production Department kapoteza maisha yake leo asubuhi.
Alikuwa anaendesha gari akiwa na watoto wake pamoja na mtumishi wa ndani (House girl). Wote waliokuwemo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.