Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Ni vizuri kutambua michango na juhudi za wengine badala ya kujidhania "mimi nimeanzia siasa CHADEMA, nimetoa mchango wangu na damu, hakuna wa kunigusa...."
Kuna watu wengi tu katika kada za chini ambao wana mchango mkubwa sawa na akina Mzee Mtei, Mzee Makani (RIP), Kamanda Mbowe, Dr. Slaa nk
Ni utamaduni mzuri na ni budi uenziwe. Si tu kwa walio wanachama wa CHADEMA bali hata wazalendo wengine kama marehemu Duadi Mwangosi ni budi tuwakumbuke na kuhakikisha historia inawekwa sawa.
Kuna watu wengi tu katika kada za chini ambao wana mchango mkubwa sawa na akina Mzee Mtei, Mzee Makani (RIP), Kamanda Mbowe, Dr. Slaa nk
Ni utamaduni mzuri na ni budi uenziwe. Si tu kwa walio wanachama wa CHADEMA bali hata wazalendo wengine kama marehemu Duadi Mwangosi ni budi tuwakumbuke na kuhakikisha historia inawekwa sawa.