Recent content by Jooffff

  1. Jooffff

    Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

    Kwani si wakafyatue bunduki zao Kibiti,sio mjini
  2. Jooffff

    Tushee Uzoefu: Mliowahi kuwa na mahusiano na wanawake waliowazidi umri

    Nipe namba yake mkuu,huenda tuponae mkoa mmoja ili niendeleze ulipoishia
  3. Jooffff

    Kama umewahi kula kuku na mayai yake njoo utoe ushuhuda hapa

    Me nmekula sana mtoto baadae mamaake mdogo tumbo moja na marehem mamaake akajisogeza,na alijua,nikala na nna kula had now japo ni Mali halali ya mtu
  4. Jooffff

    Kama umewahi kula kuku na mayai yake njoo utoe ushuhuda hapa

    We nawe Malaya tu,kutofautshaje
  5. Jooffff

    Huyu hapa Jesca John Magufuli

    Ungekuwa wa Kolomije ungepewa fasta
  6. Jooffff

    Dereva wangu, Hii ni Scania 113H- 310, tuliza akili

    Umenkumbusha mbali sana,, mlima nyoka kwa mr Tenende
  7. Jooffff

    Hamu ya kuendesha gari jipya huisha baada ya muda gani? Maana situliii!!

    Ndo uzuri wa kumiliki tu baby walker, cc 990, mafuta ya 20000 unatumia wiki
  8. Jooffff

    INAUZWA Matairi Mapya Ya Bridgestone Yanauzwa

    185/13 ya gar ndogo bei gan
  9. Jooffff

    Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!

    Me namhtaji above 35 ndo ushangae sasa, tena npo serious hata km ana watoto wawili aje tuunge na wangu, akiwa na ajira its better, me nmeajiriwa serkalini, alie serious aje pm
Back
Top Bottom