Recent content by Jongwe2

  1. Jongwe2

    Mapigano makali nje ya Ikulu Sudani ya Kusini

    Nchi za ulaya na Marekani nafikiri zinachochea kwa kiasi kikubwa. Wao ndiyo wamelazimisha serikali ikubali kuweka mkataba na muasi michar. Lakini shida ni mafuta na UBINAFSI wa kiongozi wa waasi, tamaa ya madaraka na nchi za magharibi. Walifanya uchaguzi vizuri lakini ubinafsi na nchi za...
  2. Jongwe2

    Lowassa ashangazwa mikutano ya kisiasa kuzuiwa; sasa kutumia mitandao ya kijamii kuhutubia wananchi

    Akili za matope shiiida. Hata ilani ya uchaguzi ilikuwa kwa mtandao. Anajifurahisha asikike
  3. Jongwe2

    Yuko wapi Emmanuel Nchimbi?

    Yuko Tanzania Kwa habari zaidi nenda chadema kwa kada aliyetokea ccm,
  4. Jongwe2

    Ushauri muhimu kwa BAVICHA siku ya tarehe 23 mwezi huu

    Hata huko Marekani kuna Wamarekani wengi hawaridhishwi na utendaji kazi wa polisi wa Marekani, hivyo hilo ni jambo la kawaida sana
  5. Jongwe2

    Kubenea athibitisha umiliki wa kiwanja alichokataa Hussein Mwinyi, ataka ajiuzulu kama alivyoahidi

    Ajiuzuru Kubenea kwanza maana aliyokuwa akiandika zamani kayageuza. Haoni kuwa alipotosha sana jamii ya Watanzania
  6. Jongwe2

    Kubenea athibitisha umiliki wa kiwanja alichokataa Hussein Mwinyi, ataka ajiuzulu kama alivyoahidi

    Fisadi na Rafiki yake wa pete na kidole. Mwenye gazeti yaani Kubenea is to selfesh na kigeugeu
  7. Jongwe2

    Kila Kadi ya Simu ya Mkononi Kutozwa TShs. 1,000 Kwa Mwezi

    Watanzania mnapenda misaada toka ulaya na marekani. Mnafikiri wao wanaokota hela. Hizo hela mnazolilia zije kuwasaidia kimaendeleo ni KODI za wananchi wao. Nyie mkiambiwa mlipe KODI mnaingiza siasa, kelele kibao, wengine wanataka kuzunguka nchi nzima kupinga kulipa kodi na budget. Kweli Watz...
  8. Jongwe2

    Maalim ndani ya studio za VoA muda huu via star tv

    Hivi Maalim Seifu ndiye nani huko ZNZ? Kaenda kuchukua nini Voice of America?? Tusubiri mmarekani mmoja nae aende voice of Zanzibar
  9. Jongwe2

    Maandamano ya kupinga fujo za Mbowe, Mwanza

    Acha upuuzi, anatoka mkoa wa Shinyanga anaenda mkoa wa Mwanza. Watu wa mwanza wanataka maisha ya maendeleo, wafanyekazi zao wapate kipato wale, watoto waende shule etc
  10. Jongwe2

    Kejeli za Eddo Kumwembe dhidi ya Rekodi za Zitto Kabwe

    Hivi Zitto anapinga vita vya serikali ya jpm kwa wala rushwa na mafisadi. Hivi Shose Sinare yuko ndani chini ya serikali ya jpm. Sasa nakumbuka wimbo wa Twanga Pepeta wa Jambo limezua jambo
  11. Jongwe2

    Tamko la UKAWA baada ya Naibu Spika kutangaza kukata posho

    Upinzani Tanzania ni kutoa matusi, kashfa, dharau kwa serikali badala ya kutoa hoja na sera mbadala kwa ajiri ya maendeleo. Kweli wanasiasa wa Africa walishalaaniwa na MUNGU ndiyo hamna maendeleo. Wabunge wanalipwa posho na mishahara mbali na biashara zao. Vijana wasiojitambua wanaacha biashara...
  12. Jongwe2

    Kamishna Nzowa: Ningekuwa IGP ningefumua Jeshi la Polisi

    Nzowa kama ni score kwa kazi ya madawa nampa 38%
  13. Jongwe2

    Lowassa abadili mwelekeo. Aungana na Rais John Magufuli

    LOWASSA sasa ameanza kuwa mgeni rasmi mahafali ya kidato cha pili, wiki iliyopita huko Monduli. Hongera sana EL
Back
Top Bottom