mgoc mgocingwa
Member
- Jul 1, 2016
- 49
- 16
Emanuel nchimbi Leo hakuna kijana wa ccm abasimamia anachoamn angalia hawa kinapolepole wanegeuka makasuku
wewe Dr Nchimbi baada ya kuona Dr Magufuli hakupi nafasi umeamua kuja kujipigia debe humu mwenyewe? Kwanini uliogopa kumfuata Lowassa uliyekuwa unamtetea? Tena Lowassa angepitishwa kugombea Urais ndani ya CCM wee ndyo ulikuwa uwe waziri mkuu wake. Sasa ukae Kimya hizo ndyo siasa.Habari za leo wana jamii,
Napenda kujua huyu kada nguli kabisa toka enzi za umoja wa vijana mpaka kuja kuwa waziri na sasa amepotea kama upepo uvumao. Namuulizia Emmanuel Nchimbi maana naona wengine wanaukwaa ukuu wa mikoa, ubalozi.
Yeye nini hasa kimempata mpaka kuwa kimya hivi. Hata kwenye vyombo vya habari haonekani. Napenda tu kujua maana ni makada waliongoza harakati za kuitetea CCM iwe mvua iwe jua walikua tayari hata kufa chama kibaki.
Nawasilisha.
Acha kutoka mapovu ya mdomo,Vp kuhusu Ole medeye na mnyika unaweza kujua pia Walipo au nao pia waliaga jombaaJaribu kuficha ujinga wako, kila anefuatilia siasa anajua alipo Dr. slaa kwa kuwa anapost mambo kutoka huko alipo na aliaga anaenda kupumzika, sio lazima uingize chadema hata kwenye swala lisilo husu chadema, wote tunajua Nchimba kapotea kimya kimya ndio maana anauliziwa hapa, kama unataka kujua zaidi kuhusu slaa anzisha mada yako acha kudandia dandia mwisho utaaibika.
Za mbayuwayu...............kweli una za mbayuwayu! hujui medeye alipo? hata kama hukwenda shule hili sio swali.Acha kutoka mapovu ya mdomo,Vp kuhusu Ole medeye na mnyika unaweza kujua pia Walipo au nao pia waliaga jombaa![]()
![]()
![]()
![]()
Za mbayuwayu...............
Kweli ww ndio una za mbayuwayu hujui Nchimbi alipo? Unauliza swali kama Kilaza bwanakweli una za mbayuwayu! hujui medeye alipo? hata kama hukwenda shule hili sio swali.
huu mchezo hauitaji hasira

Mbayuwayu kweli wewe tena kilaza wao, swali hujibiwa kwa jibu sio swali kwa swali, kama unajua alipo ungejibu hilo swali ili tupate kufahamu wote, sio kukimbia swali wakati wewe pia hujui jibu. Tulia usome uelimishwa.Kweli ww ndio una za mbayuwayu hujui Nchimbi alipo? Unauliza swali kama ****** bwana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
huu mchezo hauitaji hasira
![]()
![]()
![]()
![]()
Habari za leo wana jamii,
Napenda kujua huyu kada nguli kabisa toka enzi za umoja wa vijana mpaka kuja kuwa waziri na sasa amepotea kama upepo uvumao. Namuulizia Emmanuel Nchimbi maana naona wengine wanaukwaa ukuu wa mikoa, ubalozi.
Yeye nini hasa kimempata mpaka kuwa kimya hivi. Hata kwenye vyombo vya habari haonekani. Napenda tu kujua maana ni makada waliongoza harakati za kuitetea CCM iwe mvua iwe jua walikua tayari hata kufa chama kibaki.
Nawasilisha.
Babu vp una arosto ya kiroba nn c uende ufipani ukagongeMbayuwayu kweli wewe tena ****** wao, swali hujibiwa kwa jibu sio swali kwa swali, kama unajua alipo ungejibu hilo swali ili tupate kufahamu wote, sio kukimbia swali wakati wewe pia hujui jibu. Tulia usome uelimishwa.
nDIPO AKILI YAKO ILIPO AMKIA? POLE KUMBE NAHANGAIKA NA MLEVI?! Pombe ikiisha kanywe nyingine ili uendelee kujipa faraja kuwa umeelimika vya kutosha.Babu vp una arosto ya kiroba nn c uende ufipani ukagonge
Ilikuwa ni Amri ya chama kuonyesha EL haungwi mkono huko ccm Kilichofanyika nikutumika kwa Maslah ya chama!Lakini naye alimtukana Lowasa
Nasisitizia hiyo namba3 Inasemekana MTU aliekuwa anampa Homa kwenye UVCCM alikuwa Kijana wa Mzee MALECELA simkumbuki Vzr jina lake Bahati Mbaya alifariki wakiti minyukano ya kuusaka ukuu ikiwa inaendeleaKwanza kwa wanaomfahamu Nchimbi siyo mtu anayeweza kuitwa mwanasiasa Nguli. Nchimbi alibebwa na mambo machache
1. Family background- anatokea kwenye familia iliyokuwa na uongozi wa kisiasa
2. Students politics za Mzumbe zilimwigiza UVCCM
3. Wakati anaingia UVCCM hapakuwepo strong character hivyo ikawa rahisi kupenya
ILa, Nchimbi siyo strong politician is very average character kwenye mambo mengi.
Kuhusu kutoteuliwa katika teuzi za Magufuli zinazoendelea, jibu ni jepesi sana- Emanuel Nchimbi ndiye aliyeitisha kikao na waandishi wa habari na kueleza kwamba Chama hakifuata utaratibu katika kukata jina la Lowasa
kweli mkuuHivi huu utoto huku JF utaisha lini? Nchimbi, sofia simba na wale wengine hawakuwa wanafiki wao walitamka hadharani hawakukubaliana na kilichotokea, unajua maana ya unafiki? utoto utoto utoto utoto.
Nasisitizia hiyo namba3 Inasemekana MTU aliekuwa anampa Homa kwenye UVCCM alikuwa Kijana wa Mzee MALECELA simkumbuki Vzr jina lake Bahati Mbaya alifariki wakiti minyukano ya kuusaka ukuu ikiwa inaendelea
Yaah...Ipyana Malecela
tunamwita ni mnafiki kwa sababu alitoka kwenye kikao cha kamati ya maadili kwa kutokukubaliana na kilichokuwa kinafanyika, lakin baadae akamwunga mkono yule aliyeptishwa "kwa njia isiyohalali". sasa hapo huoni hiyo ni ishara ya mtu mwenye ndimi mbili?. mnamwita POLEPOLE ni mnafiki kwa sababu kile alichokuwa anahubir na anachokitenda kwa sasa ni vitu viwil vinavyotofautiana the same to nchimbi.Hivi huu utoto huku JF utaisha lini? Nchimbi, sofia simba na wale wengine hawakuwa wanafiki wao walitamka hadharani hawakukubaliana na kilichotokea, unajua maana ya unafiki? utoto utoto utoto utoto.
Hivi huu utoto huku JF utaisha lini? Nchimbi, sofia simba na wale wengine hawakuwa wanafiki wao walitamka hadharani hawakukubaliana na kilichotokea, unajua maana ya unafiki? utoto utoto utoto utoto.