Lowassa abadili mwelekeo. Aungana na Rais John Magufuli

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,536
20160510_042903.jpg


Katika hili napenda kumpongeza Lowassa kwa kusoma alama za nyakati kwa kukubali kuwa kashindwa kihalali kabisa na kuwata wapambe wake wajiandae na 2020. Lakini Napenda kumpa anagalizo kama ataimudu kasi hii ya Magufuli, ni bora akastaafu kwa heshima na kukumbukwa kuwa ameleta changamoto katika uchaguzi 2015, lakini kama ataendelea kujidanganya kuwa anaweza kushinda 2020 yasije kumkuta ya Mrema ambaye ameshasahaulika katika siasa za Tanzania.
 
Inaelekea unapenda muvi halafu ww tumekunywa soda za kreti za mbao maana naona avatar ya mzee ashanti kwenye kitu cha Lohaa..
Ha ha ha,soda za creti za mbao!dah,miaka ile,watoto wengi humu hawazijui hizo!
 
Ha ha ha,soda za creti za mbao!dah,miaka ile,watoto wengi humu hawazijui hizo!
Sahvi utawaskia "gx100 na alteza ipi nzuri ninunue" nyokozo kabisa hawajui maisha yalivyo wanakurupukia mikopo badala walime wanataka magari...
Mzee Ashanti angekuwepo wangejuta
 
Kuna soda zilikuwa zinaitwa potelo bei yake sh.100 tu!

Zamani raha tupu. Pepsi 150/= Coca 200/=
 
Lowassa ni mfalme wa siasa za Tanzania,huu ni msitu wake,baba yake aliwinda humu kabla yake,baadae aliwindanae,sasa anawinda na baadae wanawe watawinda.
LOWASSA sasa ameanza kuwa mgeni rasmi mahafali ya kidato cha pili, wiki iliyopita huko Monduli. Hongera sana EL
 
Lowassa ni mfalme wa siasa za Tanzania,huu ni msitu wake,baba yake aliwinda humu kabla yake,baadae aliwindanae,sasa anawinda na baadae wanawe watawinda.
subiria muvi za lowasa tu...
 
Lowassa ni mfalme wa siasa za Tanzania,huu ni msitu wake,baba yake aliwinda humu kabla yake,baadae aliwindanae,sasa anawinda na baadae wanawe watawinda.
Ahaaa Mkuu umenifurahishas nimekumbuka movie ya APOLICALIPTOP jamaa anajitambulisha that he is a Flit Sky.........
 
Back
Top Bottom