Ulikuwa huna sababu ya kuandika huu ujinga wako lkn....pia ukumbuke ww binadamu kama huyo anaeomba ushauri leo ipo cku na ww yatakuja yakukute makubwa hata ya huyu uliemshauri maneno ya kejeli haya ni madogo....kuwa na stara
Mawazo yako hayo...ila unatakiwa ujue huyo diamond si chizi ma baba wengi wasiojielewa wana tabia hizo za kutelekeza watoto na kuwaachia kina mama mzigo wote....sasa kwann asimthamin mama ake aliemlea kwa shida? leo huyo baba ake ndo anajitilisha huruma inahusu!
Kweli m/mungu yupo fakhina lkn asikwambie mtu kwa mwanamke hayo maji ni hatari mimi nilienda kumsaidia mama angu ktk mafuriko yale ya mwaka juzi sijui.....kuchukuwa watoto tu baada ya week nilianza kuwashwa haifai coz hapo vyoo vyote vimejaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.