Mwanamke hapendi kukata kiuno halafu ananiganda

Mwanamke hapendi kukata kiuno halafu ananiganda

Kiruuu miss chagga aikambeee teh teh hapo lazima nikukwapulie hata bunda moja ivi wallahh!!
kwa kauli ya miss chagga .....ikizidi sana utaambulia hii..
Cqapture.PNG
 
Wadau, Kuna binti mmoja anajidai ananipenda ila kinachonishangaza ni kitandani yeye anajikalisha tu, hataki kubadli staili tofauti anadaI ATAUMIA.

Yeye anataka staili tatu tu, angali mimi napenda staili nyingi hivyo kuto enjoy mapenzi. cha kushangaza binti kaniganda na ndugu zake wameshaanza kunifahamu.

Mnanishaurije wadau niendelee nae nimuoe au nimpotezee maana simuelewi, anadai nikimuacha atajiuwa.

Kama yeye hataki kukata viuno basi si ukate wewe?!
 
Wadau, Kuna binti mmoja anajidai ananipenda ila kinachonishangaza ni kitandani yeye anajikalisha tu, hataki kubadli staili tofauti anadaI ATAUMIA.

Yeye anataka staili tatu tu, angali mimi napenda staili nyingi hivyo kuto enjoy mapenzi. cha kushangaza binti kaniganda na ndugu zake wameshaanza kunifahamu.

Mnanishaurije wadau niendelee nae nimuoe au nimpotezee maana simuelewi, anadai nikimuacha atajiuwa.
Mkuu wewe unajua mavituzi kitandani au unamsingizia huyo dada tu... alafu kwahiyo wewe ili mradi mwanamke tu haujali chochote isipokuwa akijua kukata mauno kitandani ndo anafaa kuolewa... haya ushauri huu hapa: jaribu kutafuta sababu ya msingi ambayo unaweza kuamua kumuoa au kutomuoa na sio sababu ya kutojua kukata mauno kitandani...
 
hahahaaa kwani we unapenda staili gani nyingine hizo aiseee :A S-eek::A S-eek:... funguka nasi ndo tutakupa ma-answers ya kutosha!
 
wakongo mani naskia huwa wanakata kweli sasa na ww kata ili ujipe raha uitakayo,unataka kumkunja mwenzako kama mko olimpiki kuruka viunzi na kucheza sarakasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom