Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,536
kwa kauli ya miss chagga .....ikizidi sana utaambulia hii..Kiruuu miss chagga aikambeee teh teh hapo lazima nikukwapulie hata bunda moja ivi wallahh!!
kwa kauli ya miss chagga .....ikizidi sana utaambulia hii..Kiruuu miss chagga aikambeee teh teh hapo lazima nikukwapulie hata bunda moja ivi wallahh!!
Amna Mokoyo naona leo umeamuammmmmmhh au wikend ulishindwa kata mauuuuuuu............o
Hahaha yaani ukinipa tuu asee chalii yangu naenda kuzinywea mbege na ndafu tu hahahah
miss chagga leo kama unasinzia sinzia sana, nini kimekuchosha kiasi hicho?Amna Mokoyo naona leo umeamua
miss chagga leo kama unasinzia sinzia sana, nini kimekuchosha kiasi hicho?
Wadau, Kuna binti mmoja anajidai ananipenda ila kinachonishangaza ni kitandani yeye anajikalisha tu, hataki kubadli staili tofauti anadaI ATAUMIA.
Yeye anataka staili tatu tu, angali mimi napenda staili nyingi hivyo kuto enjoy mapenzi. cha kushangaza binti kaniganda na ndugu zake wameshaanza kunifahamu.
Mnanishaurije wadau niendelee nae nimuoe au nimpotezee maana simuelewi, anadai nikimuacha atajiuwa.
labda hujampa nyenzo za kukatia hicho kiuno kama panga, kisu, shoka etc.
Mkuu wewe unajua mavituzi kitandani au unamsingizia huyo dada tu... alafu kwahiyo wewe ili mradi mwanamke tu haujali chochote isipokuwa akijua kukata mauno kitandani ndo anafaa kuolewa... haya ushauri huu hapa: jaribu kutafuta sababu ya msingi ambayo unaweza kuamua kumuoa au kutomuoa na sio sababu ya kutojua kukata mauno kitandani...Wadau, Kuna binti mmoja anajidai ananipenda ila kinachonishangaza ni kitandani yeye anajikalisha tu, hataki kubadli staili tofauti anadaI ATAUMIA.
Yeye anataka staili tatu tu, angali mimi napenda staili nyingi hivyo kuto enjoy mapenzi. cha kushangaza binti kaniganda na ndugu zake wameshaanza kunifahamu.
Mnanishaurije wadau niendelee nae nimuoe au nimpotezee maana simuelewi, anadai nikimuacha atajiuwa.
Naona bado
Kama yeye hataki kukata viuno basi si ukate wewe?!
labda hujampa nyenzo za kukatia hicho kiuno kama panga, kisu, shoka etc.
mmmhhh dunia ina mengi aisee jina lako tu kwanza ni shiiiiidaaaa ukija kwenye topic ndo majanga plus!!!!!!!!!!!!!!!!!
yameanza lini?