Recent content by Jonathan Kisungwe

  1. Jonathan Kisungwe

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Umeme unakatika mno kigamboni tafadhalini shughulikieni jambo ili tunaumia na kupata hasara kwenye biashara zetu
  2. Jonathan Kisungwe

    Hivi Bongo Movie kuna mtu ana elimu ya kiwango cha shahada(Degree)?

    Movie ni art yenye hela sana ikifanywa kiusahihi but imekosa watu wenye shule kichwani ndiyo maana kitanzania imeendelea kufeli. Ukweli bongo movie watu hawajasoma kabisa wengi wao
  3. Jonathan Kisungwe

    Uongo wa CHADEMA waanza kuwatokea puani, Lisu alivaa shati la Blue na si Jeupe wakati wa tukio

    Kwakweli kinachonishangaza ni kuwa vitu vya wazi mnajipa nazo visababu vya kuhalalisha upande wenu,taarifa inatakiwa inyooshwe na kuhusu risasi ni kweli jamaa amepigwa lakini unapodai hiyo nguo nyeupe ni vest tujiulize pia ilivuliwa saa ngapi!!? Na nani na huku bado muhusika anaonekana na shati...
  4. Jonathan Kisungwe

    Nina wasiwasi na upigaji wa ngoma wa Tundu Lissu

    Nafikiri watanzania tunajisahau kuwa tanzania ni yetu wote bila kujali utofauti wa vyama vyetu hivyo kuumbuana hakutuletei maendeleo kama hatuwezi kutoa njia za msingi za kuleta maendeleo bora ya nchi na ikumbukwe kuwa upinzani walimsifia Magu kuwa anafanya sawasawa na ilani yao.. sasa sielewi...
  5. Jonathan Kisungwe

    Mkuu wa Wilaya ya Hai akanusha kumweka mahabusu Mwalimu kwa kushindwa kutaja jina lake

    Inaonekana kuna watu wanaitumia sheria kutekeleza azma zao bila kuelewea kuna leo na kesho unaweza kukuta uliyemwonea amekuwa naye bosi nawe ukamwitaji.Anyway tungoje uchunguzi uendelee kwanzaa
  6. Jonathan Kisungwe

    Nimegundua mchezo mchafu wa mke wangu

    Japo sikujui kaka ila nachokiona hapo ni kuwa mkeo kachagua maisha wyake kabla hata hajaonana na wewe na kufanya uamuzi usiogeuzwa na yeyote hivyo huyo hata awe bilionea hawezi badilika kabisa ndiyo maana anataka aendelee na kazi hiyohiyo na huku unajua karatasi haiwezi kucheza karibu na moto...
  7. Jonathan Kisungwe

    Ameniambia tupo kwenye mahusiano lakini hana 'feelings' na mimi

    Hayo mambo hayalazimishwi rafiki yangu,ukomavu wa akili tutaona utakapofanya maamuzi sahihi ya kumwacha aende zake lakini pia weka focus yako kwenye maisha yako,wanawake hawaishi tena unapoanza chuo ndiyo kabisa utashangazwa zaidi. Penda unapopendwa asiyekupenda achaba naye
  8. Jonathan Kisungwe

    Vipi Mshahara wa mwezi Agosti ushatoka?

    Kweli watu tunavituko hapo mshahara unasubiliwa kwa bidii zote na ukiingia haueleweki unavyoisha[emoji57]
  9. Jonathan Kisungwe

    Mkuu wa Mkoa wa Dar Makonda awatangazia wananchi wa mkoa wake miguu ya bure

    Tatizo la sisi watanzania hatunaga shukrani hata tukindewa wema hatuupokei tunawazaga ubaya tu
  10. Jonathan Kisungwe

    Vijana kutembea nusu uchi, Wizara ipo wapi?

    Mahakama ya kadhi itaidhinisha vifo vingi vya wakristo.. kama mnaitaka ifwateni uarabuni
  11. Jonathan Kisungwe

    Vijana kutembea nusu uchi, Wizara ipo wapi?

    Nadhani swala ni tiba ya mioyo kama kweli tunaitaji mbadiliko
Back
Top Bottom