ndo nyie nyie wanenu wakitoka nusu uchi eti umependeza mwidho wa siku mnatamani mnawakula . waafrika hasa KE wangejitambua thamani ya miili yao wasingeacha uchu maumbile yao.
itunge sheria za kudhiti
Sio wazazi wawadhibiti majumbani kwao?
duuh! fursa hiyovelimu inatakiwa.
wapo wengine wanaishi maisha yao wayajuwayo magetoni i mean . be honest na wengine wanakaa na wazazi wao lkn ndo waliotekwa na yutopiani ideai hivyo ni tabu sana mkuu
kila siku najiuliza sana hivi kwa miaka ijayo kizazi cha sasa hivi kitakuwaje? kwa sababu kwa sasa kuvaa nusu uchi na kuwa na tabia za ajabu katika jamii imepitidhwa na wizara ya utamaduni muda huo kuna watoto wanazaliwa na wanaendelea kuzaliwa katika mazingira ya tabia hizo, hali hii kwa badae itakuwaje watu watatembea uchi mzima sababu saikolojikale mtoto anapokua kuanzia kati ya mwaka1 mpk nane hii sakolojikale itaathiri karakana ya ubongo wake na yeye kuwa hivyo ndo maana watu mnalalamika lakini imezoeleka. sasa jamii ibadilike tutakimbilia wapi pa kuwalelea watoto wetu?
Umeongea ukweli mkuu. Hapa ndipo unapo ona kuwa serikali sasa imechoka kutawala nchi kwani wanahofia kuwakemea vijana na mavazi yao pamoja na tabia za kijinga kwa kuhofia kutopewa kura kunako 2015.
Ukisikia kizazi cha nyoka ndio hiki, ulitegemea itafika kipindi mahari zitatumwa kwa M-Pesa? Siku zijazo haitakuwa ajabu mtu na binti yake kuolewa na mwanaume m1...,
Mahari m pesa umeniacha hoi
Ukisikia kizazi cha nyoka ndio hiki, ulitegemea itafika kipindi mahari zitatumwa kwa M-Pesa? Siku zijazo haitakuwa ajabu mtu na binti yake kuolewa na mwanaume m1...,
Its not a matter of being late!! Hapo Tunapaswa kusema 'it starts with me!'
Una ndugu, mtoto, dada pamoja na ww mwenyewe ...unalichukuaje hili la kuvaa nusu uchi ww pamoja na familia yako?? ....au ndo ulimwengu wa mabata tena watoto mbele wazee nyuma kuburuzwa tu wanavojiskia watoto tunafata??
Kila mmoja anapaswa kujua wajibu wake kwenye kukemea hili..tunauliza wizara wakati tunaishi na wazee 24/7..kwanini tusianze nyumbani? Utakuta Mtoto mdogo kavishwa ka jeans kafupi km chupi anaranda mtaani, kapata wapi ile km hakunuliwa na mzee wake,...halafu sasa ndo mtoto anakua nayo hayo.. akivaa gauni ati mshamba!!
Nadhani swala ni tiba ya mioyo kama kweli tunaitaji mbadiliko